Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Kazi kwako kuwaalika wana JF tajiri kasema hakuna mchango, kila kitu anamaliza.
Tutaoga mvinyo hiyo siku [emoji23][emoji23][emoji23]
Na ninavyojua wana JF wakilewa lazima watupatie connection la kuishi nalo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tajiri unaniangusha sasa!! Badala uombe account ya kuweka pesa unaomba foto?!!
Mbona unaanza kunitia wasiwasi na utajiri wako?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo 😂😂😂😂
🏃🏃🏃Bado yako
 
Oyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo 😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Mama weeeee nimechelewa kufuta
Shauri Yao,nawazoom tu....

We Kuna wazuri wengine hapa tunasindikiza wazuri
 
Oyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Linda mali usipepese jicho[emoji1787][emoji2089] cost unakuja huku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom