cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Kazi kwako kuwaalika wana JF tajiri kasema hakuna mchango, kila kitu anamaliza.
Tutaoga mvinyo hiyo siku
Na ninavyojua wana JF wakilewa lazima watupatie connection la kuishi nalo![]()




Kazi kwako kuwaalika wana JF tajiri kasema hakuna mchango, kila kitu anamaliza.
Tutaoga mvinyo hiyo siku
Na ninavyojua wana JF wakilewa lazima watupatie connection la kuishi nalo![]()




Toaaa hawakawii kununua sabuniTayariiii
Nafuta sio muda![]()
Twende kabisaa tukamsapot shoga etu.Udugu sie twende kwa Martin Kadinda tukashone nguva![]()




😂😂😂 Hakuna kuzima taa tunataka tuoneKwamba camera zitatunasa? Tunazima taaa
Tajiri unaniangusha sasa!! Badala uombe account ya kuweka pesa unaomba foto?!!
Mbona unaanza kunitia wasiwasi na utajiri wako?!![]()





Chino wana man 😂😂😂Hahahaaa. Nani?
Wee kumbe!! Hongeraaaa 😊Umepata wapi ujasiri. Kitu bado boxed na sealed. Mi ndio nitachana karatasi![]()
🏃🏃🏃Bado yakoOyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo 😂😂😂😂
Mwenyewe fundi namiTulia chombo ya fundi![]()
🤣🤣🤣Oyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo 😂😂😂😂
Kwakweli hata sijakielewa kabisa!Mpaji Mungu msaidie kuangalia ili afanye challenge atupie humu 🤣
Linda mali usipepese jichoOyoooooo!! Shogaake miye huyooo!!
Ukisikia warembo wakali ndio km huyu sasa!!
Pisi kali imesimama, imenyooka afu imepoaaaa!!! Tayana uliumbwa kwa udongo gani mwenzetu?!!
Kuna watu washabeba pic wamekimbia nayo kujichukulia sheria mkononi!!
Nyie mbwiga mke wa mtu huyooo![]()

cost unakuja hukuTajiri kasema bday itakuwa week nzima 😂😂😂🤣🤣🤣Katibu mwenyewe nakuaminia
Wana sifa km wahaya
Hujaielewa challenge jamani🤣🤣 unafeli wapi saaa.Kwakweli hata sijakielewa kabisa!
Kitu saa 6🤣🤣🤣
Mama weeeee nimechelewa kufuta
Shauri Yao,nawazoom tu....
We Kuna wazuri wengine hapa tunasindikiza wazuri
Pole sanaa.Sioni hizo picha zenu,
Naumia mnooo
TenaaaaTajiri kasema bday itakuwa week nzima 😂😂😂
Connection muhimu 😂😂😂