binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,824
- 43,544
π€£π€£π€£π€£ Dah! Basi nimeamini ule uzi uliuona na unapita kimya kimya! Nimeamini π€¦π»ββοΈNiwapatie muda huu au baadae? Et Mrs naniiiii...?
Nilitamani kuchangia kwa kueleza tukio langu ila moyo ukasita...!π€£π€£π€£π€£ Dah! Basi nimeamini ule uzi uliuona na unapita kimya kimya! Nimeamini π€¦π»ββοΈ
π€£π€£π€£ umeanza!!!Ohoooh codw ziko wazi...
Wait nipitie files huenda Lamomy and binti kiziwi mlipita kwenye mboni za zulu mjini forestπ€£.
Sawa ila kaka yako nilikuwa mtata kwa vile vijukuu vyenye ngozi za ajabu ajabu hapo Moro townπ€£.π€£π€£π€£ umeanza!!!
Em potezea, tuendelee na mengineyo
Hata sijui km yake, me nilikuwa nawaza kwenda kuruka kwanja tyuuu!!! π€£π€£π€£Halafu Lamomy, Mambo Club ilikuwa ya SabaSita baba yake Tunda au ulikuwa uzushi tu, huko ndiko nilikomuona Majizo kwa mara ya kwanza, akijiita DJ. Majizo for Shizo πππ
Wewe ulikuwa wa sabasaba au chamwino ndio vijana watukutu mlikuwa mnatokea kule πππSawa ila kaka yako nilikuwa mtata kwa vile vijukuu vya ngozi za ajabu ajabu hapo Moro townπ€£.
Weka hata ukucha uibariki siku yetu JF maana hizi siku 3 siko sawa kiakili na mwili.
Wengi sana wapo humu sema wanazuga ππππ€£π€£π€£π€£ Dah! Basi nimeamini ule uzi uliuona na unapita kimya kimya! Nimeamini π€¦π»ββοΈ
Kwa kweli nami nimeshtuka, nikitupia tena nitaweka emoj usoni kama 100 hivi. πWengi sana wapo humu sema wanazuga πππ
Na hizi picha me nimestop wasije kunijua bure
Wewe fulani kumbe ndio wewe?! π€£π€£π€£Kwa kweli nami nimeshtuka, nikitupia tena niweka emoj usoni kama 100 hivi. π
Ila watoto wa Patel tulikuwa na hekaheka na tulikuwa tunajiona mastar wenyewe π€£π€£π€£Hhhah umenichekesha sana.
ujue mimi nilikuwa nakaa hostel za nje, La miri.. π hope umezijua. Hosteli zilikuwa na masista duu zile visket juu ya goti π
Nilikuwa naishi kigurunyembeWewe ulikuwa wa sabasaba au chamwino ndio vijana watukutu mlikuwa mnatokea kule πππ
Mwenzio nilikuwa napatana nao kweli gabacholi
Vijana social kuna shost angu ana historia napo hawezi pasahau.Ila watoto wa Patel tulikuwa na hekaheka na tulikuwa tunajiona mastar wenyewe π€£π€£π€£
Hujamiss vijana social
πππ nitakuwa nakufahamu shenzy zako!!Nilikuwa naishi kigurunyembe
Utata ulikuwa wa mambo mengi,ulikuwa na wifi yako pale mwenye ngozi yao na mimi nilikuwa jeuri,kutaka kujionyesha pesa iko kama mkinga lamomyπ€£.
Tuishie hapo
Weka picha kwanza nisafishe macho maana niko porini nimekuja kushangaa maliasili za Tanzania
Hiyo mechi nahisi nilikuwepo nitajie mwaka, unajua me kwenye michezo nilikuwa muhamasishaji wa kuzomea ππππVijana social kuna shost angu ana historia napo hawezi pasahau.
Kuna siku tumeenda mpirani kigurunyembe tukafungwa vibaya, punde si punde nikasikia watoto wa Patel wanaimba ada zenu, viatu vyetu πππ kwa maana Ada ya kigurunyembe ni bei ya kiatu ya watoto ww Patel, utoto raha, walioshiriki kuimba ule wimbo kama kwa sasa ni jobless wakatubu ππππ
Usiendelee watakujua. πHiyo mechi nahisi nilikuwepo nitajie mwaka, unajua me kwenye michezo nilikuwa muhamasishaji wa kuzomea ππππ
PM utaikuta picha yakoπ€£..ila binti kiziwi ndio kabisa sina mashaka naye,100% macho yangu hayajakosea alipoweka photo japo alificha uso.Hiyo mechi nahisi nilikuwepo nitajie mwaka, unajua me kwenye michezo nilikuwa muhamasishaji wa kuzomea ππππ
Na kweli watanijua πππUsiendelee watakujua. π
Nimeishaaaaa! Kwisha! πPM utaikuta picha yakoπ€£..ila binti kiziwi ndio kabisa sina mashaka naye,100% macho yangu hayajakosea alipoweka photo japo alificha uso.
Me huwezi kunijua ngβo πππPM utaikuta picha yakoπ€£..ila binti kiziwi ndio kabisa sina mashaka naye,100% macho yangu hayajakosea alipoweka photo japo alificha uso.
Zulu mjanja kashakujua anataka na me niweke foto apigie mstari aanze kunikumbushia matukio yangu π€£π€£π€£Nimeishaaaaa! Kwisha! π