Wewe mpe tutajua sisi jinsi ya kupeana 😜Mzigo atakupatia vipi nikimpatia?
Kwahiyo nijilinde kwa kumfungulia uzi tena?🤣 alaf
Wifi yako leo hajaenda kazini anaumwa na hospital hataki kwenda anahofia sindano(nahisi kamiss tu sindano isiyoumiza) na naona hali ya hewa yenu hapa inaumiza tu muda wote hata huyu ninaemsubiri na lugha yake ngumu naona hii meeting haitoenda.
Can't wait🤣🙌Utufungulie thread ya couples/Mume & mke , kasoro hawala/michepukoz,na binadamu wapweke hawaruhusiwi huko.
Mshana Jr
Mbavu zangu 🤣Mama mchungaji kazini! Kweli roho wa bwana anena nawe☺️!
Li udugu lipo vizuri 😍😍😍
Mbona anazibinya mtani😳
Kwani Jana hazikuwa halisi?🤣Na Leo waendelee naile kasi ya jana ! Ila waweke zao halisi
Hongera 🥰 kwa hips
🤣🤣🤣🤣Jana ulikuwa moto sana 5G. Lkn nikagundua napambana na Anonymous persons.
Zinawekwa sura hatari hutuki kama hu boost na vumbi la Congo.
Halafu kukawa na mvua umeme ukakata. Yaani. PM wamebana. Sasa kwa shangazi utaishia kuona online tu.
Kuna avatar za kike humu balaa.
Mungu anakuona🤣Hapana sio kweli mkuu! Hiki ki tecno mi hata sikielewi kinanitoa mwili sio wangu 🤠
Humo mimi niwe refa sababu najua fika michepuko lazima ije kuchafua hali ya hewa 😂😂😂😂Can't wait🤣🙌
UnajishauaKamera tu mkuu hata sina shepu!
Sawa,ila nikionana naye nitajitahidi uwe mzigo wa kueleweka ila kiasi hakitoshinda chake🤣.Wewe mpe tutajua sisi jinsi ya kupeana 😜
Hakikisha mzigo wa kueleweka sasa!!
Sindano ulizomdunga zimeanza kuleta matokeo mapema mbona?!!! 🤣🤣🤣
Na kweliHumo mimi niwe refa sababu najua fika michepuko lazima ije kuchafua hali ya hewa 😂😂😂😂
Fanya chap 😋😋😋Sawa,ila nikionana naye nitajitahidi uwe mzigo wa kueleweka ila kiasi hakitoshinda chake🤣.
Kuhusu sindano achana na nazo maana ni dhambi kwako kuvutia hisia kitu ya kaka na wifi yako🤣
Nina kipenseli? 😳Sawa Penseli