Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,194
- 33,566
KhakhakhaaaaUnamuharibu Kantr ujue! Afu kesho useme friji lake haligandishi
![]()

Wacha weeeh cuzo huyoooUsisahau na rungu ninalo
Nakufa na ubuyu mimi ntaumwaga hapa hapa ujue 😂😂😂ubuyu au mchongo
Amekuja na kofia kama ya Michael JacksonWee mchumba jamani ulikuwaga wapi?! Mi nimekumiso weyee!!!
Mwandiga wazima?! Mbona uko porini unafanya nini?!! 😂😂😂😂
Mshana Jr ankal yule jamaa huyu hapa!!
Taarifa zimechelewa kumfikia network ilikua ya shida
We kifua chako mbona km kuna tunyonyo 😂😂😂
Ubuyu mpe antonnia, mm michongo tuNakufa na ubuyu mimi ntaumwaga hapa hapa ujue
Acha utani pokea simu




Kasema ana rungu 😂😂😂Amekuja na kofia kama ya Michael Jackson
Cuzo wetu ni hatari sana 🔥🔥🔥
Kigoma Moja hiyo,, handsome wa kigoma mwisho wa reli.
Utarudisha chenchi 😂😂😂😂 Noma sana mkuu.
Usije kunibembeleza baadae 🤣🤣🤣Ubuyu mpe antonnia, mm michongo tu![]()
Afu unaweza kukuta huyu ndo Antonia kweli 🤣🤣🤣🤣
Uzee ushapiga hodi yaani uvivu hata kutuma picha😁Bila shaka Umepita spipi balaaa ! 😁 lol nimepitwaaaaa!
Beer hapo ndio appetizer naweza piga hata plates mbili za wali.Utarudisha chenchi 😂😂😂
Mkuu kumbe we ni mlinzi, nakubali wanawake wanaojituma.
Wee kwa uzee gani labda wazee hutuoni hapa!😊!Uzee ushapiga hodi yaani uvivu hata kutuma picha😁
Ndio nimimi😁!Afu unaweza kukuta huyu ndo Antonia kweli 🤣🤣🤣🤣
Kwenye 1 na 2 😊Major General Antonnia
Kesho Jioni saii ishakua usiku sana!