Umeshiriki lipi kati ya haya?

hippocratessocrates

JF-Expert Member
Jul 1, 2012
3,598
1,539
Salaam,

Mara kadhaa nimeshiriki/inawezekana nawe pia umeshiriki katika mjumuiko wa watu wenye kueleza/kutoa maoni, majadiliano, elimu n.k lakini hasa inakuwa shida kutambua nini hasa ulichoshiriki(nilichoshiriki), Ningependa kusaidiwa tofauti au matumizi ya maneno haya;

-Kongamano.
-Warsha.
-Mkutano.
-Kikao.
-Semina.
-Mdahalo

Kwa msaada wa kamusi bafo inakuwa ngumu kutofautisha, je, todauti hasa ni ipi?
Nataraji majibu yatakayojenga zaidi kuliko kubomoa.
Shukrani.
 
Salaam,

Mara kadhaa nimeshiriki/inawezekana nawe pia umeshiriki katika mjumuiko wa watu wenye kueleza/kutoa maoni, majadiliano, elimu n.k lakini hasa inakuwa shida kutambua nini hasa ulichoshiriki(nilichoshiriki), Ningependa kusaidiwa tofauti au matumizi ya maneno haya;

-Kongamano.
-Warsha.
-Mkutano.
-Kikao.
-Semina.
-Mdahalo

Kwa msaada wa kamusi bafo inakuwa ngumu kutofautisha, je, todauti hasa ni ipi?
Nataraji majibu yatakayojenga zaidi kuliko kubomoa.
Shukrani.

Ingawa sio mtaalam wa kiswahili nachangia kama ifuatvyo:-

Kongamano=Jumuiko la watu wenye ufahamu wa fani moja katika kubadilishana uzoefu wao.
Warsha/Semina =Jumuiko la watu katika kupata melekezo ya kiutendaji juu ya jambo/kazi fulani
Mkutano=ni kutaniko la watu mbali mbali
Kikao= ni mkutano wa watu wachache miongoni mwa mwengi (wawakilishi)
Mdahalo= mvutano wa pande mbili zenye mitazamo tofauti katika kupata lengo la jumla(pamoja)





 
Ingawa sio mtaalam wa kiswahili nachangia kama ifuatvyo:-

Kongamano=Jumuiko la watu wenye ufahamu wa fani moja katika kubadilishana uzoefu wao.
Warsha/Semina =Jumuiko la watu katika kupata melekezo ya kiutendaji juu ya jambo/kazi fulani
Mkutano=ni kutaniko la watu mbali mbali
Kikao= ni mkutano wa watu wachache miongoni mwa mwengi (wawakilishi)
Mdahalo= mvutano wa pande mbili zenye mitazamo tofauti katika kupata lengo la jumla(pamoja)






Mkuu, ahsante sana ...nadhani wewe ni mtaalamu.nimekuelewa vyema na nashukuru kwa ufafanuzi wako.
 
Back
Top Bottom