Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,210
- 113,500
Hivi inakuwaje hadi mtu anafikia hatua ya kumuua mama yake au/na hata baba yake?
Inakuwaje mtu anafikia kumuua dada, kaka, binamu, shangazi, au mjomba?
Ushawahi kukutana na mtu anayedanganya kuwa mtu wake amekufa au kafa?
Mtu unatega shule halafu unatoa kisingizio cha fulani kwenye familia yenu kafa.
Au unasema mama yako mzazi ni marehemu ilhali ni mzima.
Watu wa hivi tuwaweke kwenye kundi gani?
Inakuwaje mtu anafikia kumuua dada, kaka, binamu, shangazi, au mjomba?
Ushawahi kukutana na mtu anayedanganya kuwa mtu wake amekufa au kafa?
Mtu unatega shule halafu unatoa kisingizio cha fulani kwenye familia yenu kafa.
Au unasema mama yako mzazi ni marehemu ilhali ni mzima.
Watu wa hivi tuwaweke kwenye kundi gani?