Umeshawahi kutana na mtu wa hivi?

Umeshawahi kutana na mtu wa hivi?

Minjingu Jingu

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2023
Posts
1,384
Reaction score
3,057
Huwa napenda sana kuna wazee flani au watu wazima wenye pesa anakuwa na ngozi usoni laini inakuwa na tuvitobo vitobo hivi kama amenyofoa ndevu.

Huwa najiuliza wanakuwa wanapaka nini usoni?je ni aina ya after shave au shaving cream inawafanya wawe hivyo usoni?

Mimi usoni nina ndevu nyingi sana natamani niwe nanyoa.maana kwa sasa madogo nao wanafuga ndevu wakati hii ni sunna. Wao wanajifugia tu kama urembo. Sasa nime ona bora niwe nanyoa tu. Lakini nataka nibaki na kidevu safi na ngozi ya kitajiri.

Nitumie nini?
 
Siku hz kabla ya kusoma Uzi wa mtu nachek joining yake ni ln......

Uso kuwa soft inategemea kwa tafiti zangu
👉 Kuna watu wana ngozi soft natural kabisa hata akijipaka babycare ana glow

👉 Hapa kuna aina ya ngozi, kavu combined kavu plus nyevu, na ngozi nyevu

👉 Unywaji wa maji mengi unafanya ngozi yako kuwa soft,

👉Ulaji wa matunda vilevile.....

👉 Kujua nn unatakiwa kupaka na kipi hutakiwi kupaka hasa siku hz unaweza pima skin pH plus kujua aina yako ya ngozi inakupa urahisi wa kujua mafuta gani utumie

👉 Kingine usaidizi wa scrubbing na skin care nyingn huipa ngozi kuwa nzuri

👉 Osha uso vzr.... Tumia sabuni maji mengi,, inaifanya ngozi kuwa smart

👉 Mwishoni kabisa fanya scrub ya nyanya, ama asali au maganda ya ndizi kawaida tuu.....

Ngozi ina jiweka yenyewe kwenye nafasi yake.....
 
Siku hz kabla ya kusoma Uzi wa mtu nachek joining yake ni ln......

Uso kuwa soft inategemea kwa tafiti zangu
👉 Kuna watu wana ngozi soft natural kabisa hata akijipaka babycare ana glow

👉 Hapa kuna aina ya ngozi, kavu combined kavu plus nyevu, na ngozi nyevu

👉 Unywaji wa maji mengi unafanya ngozi yako kuwa soft,

👉Ulaji wa matunda vilevile.....

👉 Kujua nn unatakiwa kupaka na kipi hutakiwi kupaka hasa siku hz unaweza pima skin pH plus kujua aina yako ya ngozi inakupa urahisi wa kujua mafuta gani utumie

👉 Kingine usaidizi wa scrubbing na skin care nyingn huipa ngozi kuwa nzuri

👉 Osha uso vzr.... Tumia sabuni maji mengi,, inaifanya ngozi kuwa smart

👉 Mwishoni kabisa fanya scrub ya nyanya, ama asali au maganda ya ndizi kawaida tuu.....

Ngozi ina jiweka yenyewe kwenye nafasi yake.....
💯💯 Unyama sanaa
 
Back
Top Bottom