Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,205
- 3,009
Hope mko poa,
Naomba kuuliza swali dogo, hivi ushawahi kurudiana na ex wako, halafu penzi likanoga Kama zamani.
Two years ago, nilkuwa kwenye penzi zito Sana na mdada mmoja, yaani nilimpenda nae akanipenda kweli, basi tulikula maisha kwa furaha ya hali ya juu.
Baada ya muda tuliachana, japo mawasiliano ya kujuliana hali yalikuwepo, Sasa bi dada this year anaomba turudiane, nikikumbuka moments za nyuma natamani turudiane, Ila nahofia sitompenda Kama zamani.
Wakuu kwa walioweza kurudiana na ma ex wenu mliwezaje, na je penzi lenu lilinoga?
Naomba kuuliza swali dogo, hivi ushawahi kurudiana na ex wako, halafu penzi likanoga Kama zamani.
Two years ago, nilkuwa kwenye penzi zito Sana na mdada mmoja, yaani nilimpenda nae akanipenda kweli, basi tulikula maisha kwa furaha ya hali ya juu.
Baada ya muda tuliachana, japo mawasiliano ya kujuliana hali yalikuwepo, Sasa bi dada this year anaomba turudiane, nikikumbuka moments za nyuma natamani turudiane, Ila nahofia sitompenda Kama zamani.
Wakuu kwa walioweza kurudiana na ma ex wenu mliwezaje, na je penzi lenu lilinoga?