wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,940
- 5,751
Mpe vidonge vyake HuyoKwa hiyo huna dhambi wewe ni bikra kiimani ni mweupe kama theluji au??acha ku pretend sheteni mdogo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpe vidonge vyake HuyoKwa hiyo huna dhambi wewe ni bikra kiimani ni mweupe kama theluji au??acha ku pretend sheteni mdogo wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ndezi ndo wale madogo ambao wamefeli life halafu unawabeba...lkn mwishowe wanakukosea aibu....utakulaje mke wa kaka yako...madogo wa namna hii unafuta nao undugu kabisa
We jamaa umezingua bana, na ukaona sifa uje utusimulie na uulizie kama kuna wengine washawahi kufanya hivyo pia, kwa taarifa yako hakuna mwingine humu alowahi kufanya hivo, ni wewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
wala hajakudanganya, mimi nina laptop toshiba satellite A20 ya mwaka 2000 inakaa na charge 2 hours na ikiwa on standby mode inakaa na charge 6 days, kwanini yeye awe amedanganya ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo cctv ni kiboko,zinaweza kumulika hadi gizani?(maana mdau amesema umeme ulikata)Kwahiyo dogo unajiona mjaaanja wakati nilishatega cctv kitambo huoni nilianza kukata mirija ya kukupa pesa ukaishia kupauka ww ni boya sana au niweke humu clip zako unaongea ongea tuu ukijua mimi sio member humu?




Jamaa anatupiga kamba takatifuMmeelewa lakini story 2003, mwana alikua na laptop inayoweza kukaa na chaji toka saa nne mpaka saa 6, lakini pia alienda kulala chooni
Na wewe ni boya popoma MATAGA
Mbona unataka kumla mke wangu Khantwe????
Nakufuatilia Kwa karibu Sana lazima nikupige pipe andaa ky jell kabsaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Enhe ilikuaje mkuu... Tu dadavulie bwana.....Mkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaaha unasema?Kwahiyo dogo unajiona mjaaanja wakati nilishatega cctv kitambo huoni nilianza kukata mirija ya kukupa pesa ukaishia kupauka ww ni boya sana au niweke humu clip zako unaongea ongea tuu ukijua mimi sio member humu?
Mkuu watu hawa ni muhimu sana hapa jukwaaniDaaah ,yaani we dogo Ni boya kichizi
Unamla shemeji yako alafu unakuja kuandika pumba zako hapa
Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
ilikuaje? tupe mkasa huoMkuu hyo yako CHA MTOTO...Mimi nilishamla MAMA MKWE WNGU....ni mtamu hatari...
Sent using Jamii Forums mobile app
@Khantwe mama njoo huku Kuna mtu anataka kuleta shida hapa mtaani kwetuSamahani sana mkuu..sikujua manzi aliniambia yupo single mbona
kwahiyo wengine wakishakulana heshima inaisha? Alafu kuna uzi mwingine wa waliokula binamu zao. Mimi sijui nakwama wapi asee!Hivi inakuwaje watu mnakulana halafu mnabaki 'kuheshimiana sana'?
Sent using Jamii Forums mobile app