Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
 
Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Wewe pekee ndiye umeeleweka!! #thumb up
 
Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Kwakifupi kwa utawala huu wa Magufuli na TCRA yao tunahitaji sana hiyo deep web kwa ajili ya kutumia mitandao ya kijamii, maana nimegunduwa hapo kuna wataalam wamedhibiti mpaka uwezekano wa kutrace IP.
 
MREJESHO

Kwanza simu ilianza kubweka kama mbwaa hee maajabu leo,,, likatokea lijitu la miraba minne unataka nini huku...nachungilia tu...

Likasema ngoja uone,,, kasimu kakaungua sirudi tena😵😵😵
Hahahaha ww hukuzama ulichungulia ndio maana simu yako ikaungua.
 
Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Shukrani sana kwa ufafanuzi mzuri, bless you.
 
Vp naweza kuinstall kwenye simu kiongozi?
Acha uzembe vitu kama hivyo usithubutu kutumia device unayoitumia kwa shughuli zako muhimu. Tafuta computer maalum kwa issues kma hizo wanaweza kukutumia "malware" waka-destroy hiyo device yako. Otherwise tumia "VPN" to fake IP address and make sure ni ya kununua sio hiz za bure......
 
Sio lazina kutumia tor browser, hata hizi browsers za kawaida waweza tumia, ila kuepusha kuacha traces kwenye computer yako unatumia private browsing feature karibi kila browser inayo, na kutoacha traces kwa isp wako tumia proxies, na proxy server ziko nyingi tu duniani. Tor browser inafanya hivyo on your behalf.

In essence, deep web ni mambo illegal kwenye mtandao... Na threats zilizo huko hata kwenye web ya kawaida pia zipo. Mtumiaji wa mtandao siku zote ni wajibu wako kujifunza namna ya kujilinda maana hakuna usalama wala faragha unapokuwa mtandaoni.
 
Habari naona watu wengi mnahangaika its just simple thing.... deep web unaweza itumia anytime sio lazima uwe na hizo browser na kuna many useful information


But pia kuna black market miaka ya 2011-2012 walifungua online black market ikiitwa silkroad online na huko watu walikuwa wakinunua bidha tofauti kama drugs... weapons... passports and visa... na other services lakini mwishowe FBI wakaifunga na nyengine ilifunguliwa ila 2014 ikafungwa

I heard kuna silk road online 3 now but bado haijafungwa... kuna sellers zaidi ya elfu 10 wanauza service na bidhaa in very black way.... vingine hasa ni illegal porns na other ujinga


So jamaa walitengeneza njia ya kuifikia hiyo site yao ikupitia tor browser ambayo haisave history ya unachofanya na pia ina vpn ndani yake so internet service provider na gov... wanakuwa wanashindwa kukupata muhusika kwa urahisi...
Ahsante kwa elaboration mkuu.
 
kwaiyo tor browser is all about illegal activities sio?
 
Deep web nimeisearch kawaida na kuisoma kidogo ila kama hujui kitu bora usizame huko hii web ipo dunia nyingine ridhika na kile upatacho hapa huko nadhani si salama kama hujui unafata nini.
 
Uko tusipofika kwenye izo deep web wakubwa ndio wanadukua information zetu
 
Deep web nimeisearch kawaida na kuisoma kidogo ila kama hujui kitu bora usizame huko hii web ipo dunia nyingine ridhika na kile upatacho hapa huko nadhani si salama kama hujui unafata nini.
Fair enough
 
sijaona cha kushtusha,nimeangalia vitu vya kawaida kama ninavyoangalia kila siku ktk kwa kutumia browser nyingine.labda wataalam watujuze kuna nini cha ajabu tusearch kama mfano.
Actually hakuna kitu cha ajabu sana lakini uajabu wake ni pale kuwa watu wengi hawajatambua uwepo wa kitu kama hiko I mean uwepo wa Deep web, pili kuna link ambazo zina taarifa zinazo wahusu watu fulani tu hivyo wewe ukiingia huto elewa chochote. ndio maana unaona hakuna cha ajabu
 
Back
Top Bottom