Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

Umeshasikia kuhusu 'DEEP WEB'?

One of the useful use of deep web in blockchain ambayo kupitia humo ndo dunia inatarajiwa kuingia ktk mfumo mpya kabisa wa kufanya miamala ya digital currency the like of Bit coin ,One coin etc etc
 
Nimesikia...Ukitaka kununua silaha za hatari au kupata hackers wa kuvamia mfumo wowote ndo wanapatikana huko..
ila super administrator Dread Roberts wa silk road anasema hairuhusiwi kuuziana vitu vya wizi,counterfeit money,child pornography in short kufanya chochote kinacho harm innocent people.

sema walimwengu ile fair and pure freedom wanaitumia vibaya
 
One of the useful use of deep web in blockchain ambayo kupitia humo ndo dunia inatarajiwa kuingia ktk mfumo mpya kabisa wa kufanya miamala ya digital currency the like of Bit coin ,One coin etc etc
Mambo ya cryptocurrency.
 
Mkuu iko hivi tor browser Ina VPN yake kwa hiyo ukiinstall inakuunganisha kwenye network yao na inakupa IP nyingine, kutumia tor Google my IP utaona kompyuter aonyesha upo sehemu nyingine.
Tor browser ukiitumia ina hide IP yako na una surf anoynomously lkn Siyo guarantee 100% usiitegeme saana japo inaficha muhimu funga JavaScript yko sabb inaweza kureveal identity yko

Ukitaka uwe privacy kbs

Tumia os ya tails na tor browser ,windows cyo guarantee
 
Well ntatest leo, naconnect vpn ili niongeze layer of security, halafu nafire-up tor browser napitia hizo links nione what will happen
 
Mmmm natamani kujua zaidi ila naona maelezo ya mtoamada ni mafupi
 
Mmmm natamani kujua zaidi ila naona maelezo ya mtoamada ni mafupi
pm mtu anaetumia ID ya chief mkwawa, atakufunulia kila kitu kuhusu deepweb..............atakufunulia kila kitu hadi utakiona kisime cha deepweb!
 
nadisconnect waya zote za kwny umeme tuone kama haitazima

Kuna virus jina kidogo kanitoka! Ukitupiwa anakula vitu vyote kwenye mashine then anai lock mashine yako unakuwa huna uwezo wakui fanya chochote Hata kuizima mpaka utoe betry ndio itazima na kui washa tena Ni mpaka upige window chini upandishe nyingine
 
Aiseee nimefanikiwa kuingia huko kwenye Deep Web kwa kutumia android huko ukiingia hautatatamni kutoka
 
Ni hatari mkuu du! Niliyo yakuta huko jana hatari tupu, kama huna moyo wa chuma nakushauri acha kabisa iphone yangu nimeiunguza nikiwa humo deep
Kivip me mbona sjakuelewa jamaa kuna nn uko
 
Nimejaribu kutaka kuthubutu japo bado sijawa na maamuzi niingie au la
 
Back
Top Bottom