Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 17,306
- 19,877
Mtu anakula mara mbili kwa siku, anapata wapi pesa ya kufanyia DNA testing??kwa vipimo, najua kuanza kuchunguza uhalali wa watoto ni vibaya, lakini kwa namna yeyote ukifanikiwa kujua mtoto sio wako, kimbia😂
Mkuu unatokea kanda ya Ziwa?Mke akishakuwa wako, basi hadi watoto anaozaa ni wako pia.
Sijaoa cute[emoji1787][emoji1787]Wawili, tena nitafurahi wakiwa twins
inawezekana, ila hoja sio hiyo hoja ni ukijua mtoto sio wako, kimbiaMtu anakula mara mbili kwa siku, anapata wapi pesa ya kufanyia DNA testing??
ongea na Dr Restart mtaalam wa mizagamuano😂Wanaozaa mapacha kuanzia watatu wanafanyaje wakuu... maana I wish nije kua na watoto wa3 at once 🥹
Ulipaswa unipe pole kipindi hicho sina Mtoto hata wa kusingiziwa kazi yangu ni kupiga kinanda mfukon similik kumi shilingi kipandekwahiyo 10? pole na hongera[emoji23] hauteseki?
Nuh I don't think have to tell nobody just to make em' believe it is trueHow can you tell if the kid doesn't belong to you??
Acha uoga mkuu hata wenye wawili watatu wanangaika ata kuliko wewe, hakuna mahusiano kati ya kipato na watoto, mimi nina saba wote wako private schools na hawakosi hata siku moja kwenda shuleni eti kisa ada wakati majirani wana moja wa wili wana kuja kufuata msaada wawarudishe shuleni, mimi lazima ni fikishe watoto kumi Mungu akiafiki tawazanani hilo sio suala ila sizai na singo maza kwasbb siko tayari kuhudumia damu isio ya kwangu na sitaki kubagua mtoto wa mtu.Nilipanga niwe nao 20, sasa hivi nna watoto 13 hamna rangi naacha ona aisee wananipeleka kaa gari bovu, najitahidi kuwahudumia wote ila sio poa,
Malengo yangu ya kua tajiri nayaona yaleeeeee yanapepea, maana 8 kati hao wako la 7 kushuka chini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli inabidi anielekeze nataka mapacha kuanzia wa3 nakuendelea😊.. Dr Restartongea na Dr Restart mtaalam wa mizagamuano😂
Mimba unabeba wwwe mkuu??Kwakweli inabidi anielekeze nataka mapacha kuanzia wa3 nakuendelea[emoji4].. Dr Restart
Duh!. Mkuu mimi na mambo ya mizagamuo wapi na wapi?ongea na Dr Restart mtaalam wa mizagamuano😂
Ndyo nabeba mwenyewe bestie 😃😃🤔Mimba unabeba wwwe mkuu??
kwahiyo ni genetic....Duh!. Mkuu mimi na mambo ya mizagamuo wapi na wapi?
Kama Leejay49 anahitaji, muambie aandae maokoto ya kutosha kama hana genes zenye kuwezesha kupata mapacha.
Hahahaha!. Mapacha wawili tu ni mtihani, ije iwe watatu? Atachoka sana.Mimba unabeba wwwe mkuu??
Unaweza kuwa na genes za mapacha na usipate mapacha.kwahiyo ni genetic....
ila yeye kama hana, afu me anazo zi anapata?
Siyo tumillion vyako vitatu alafu ndiyo useme maokoto sio tatizo.Nipe uhakika😃, maokoto sio tatizo mkuu😬
Sawa, kama uhakika nitakutafuta😃😃Siyo tumillion vyako vitatu alafu ndiyo useme maokoto sio tatizo.
Ndiyo, mafanikio ni zaidi ya 80%.