Sawa mkuu.....sisi wakenya ... kiswahili kinatusumbuaKwenye lugha ya mpira maneno haya hutumika
Sare means matokeo sawa mfano 1-1, 2-2 kifupi ni kuwa timu zifungane kwa idadi sawa ya magoli
Then kuna suluhu yaani timu zisifungane kabisa iwe 0-0
Hicho ndo kiswahilii cha mpira
Sema alikuwepo super....msheriUpande wa kipa gap lilionekana tangu game ya kwanza. Metacha anapanchi mipira isivyofaa!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Uwe unakula walau mkate utakusaidia kutoharisha harisha maneno ya Kipumbavu kila kukichaMakolo wanaitia gundu timu ya taifa,wasiitwe tena
Bado tunapanda ngazi mkuu......kabla hujazeeka utaanza kushuhudia.....ENGLAND wanakuja kucheza na taifa starsKutoka sare na vibonde wa Sudani kusini tena mechi ya kirafiki tena mkiwa kwa Mkapa na penyewe kwa kutokwa kamasi ni mafanikio? Akili za utopolo anazijua Manara tu. Afrika ya Kati mlicheza na vitoto vya shule vikiongozwa mzee mmoja mkajipigia . Ebu waiteni Senegal , Cameroon , Algeria muwafunge ndipo muongee utumbo kama huu.
Sasa simba ikiwa timu ya taifa sii kutakuwa na wacheza wanne tuu🤣🤣🤣🤣🤣Ikiwezekana Simba SC ndiyo iwe Taifa Stars ( Timu ya Taifa ) kuanzia sasa hasa Jumapili hii ijayo.
anaharisha ovyo huyuUwe unakula walau mkate utakusaidia kutoharisha harisha maneno ya Kipumbavu kila kukicha
Mkuu taratibu punguza munkariUwe unakula walau mkate utakusaidia kutoharisha harisha maneno ya Kipumbavu kila kukicha