Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 15,770
- 24,202
Ikiwa ndani ya mechi mbili ngumu ambazo taifa stars wamecheza moja dhid ya central Africa republic ambayo taifa stars tulishinda bila uwepo wa wachezaji wa Simba
Mechi ngumu nyingine ni ya Jana dhidi ya miamba ya sudani ambayo tumetoa droo bila kufungana ambapo ndan ya mech mbili tumepata point 4 bila ya wachezaji wa Simba
Swali ni je, wachezaji wa Simba hawana impact yeyote pale taifa stars?
Au ndio wanatuhujumu taifa stars tusifanye vizuri.
Mechi ngumu nyingine ni ya Jana dhidi ya miamba ya sudani ambayo tumetoa droo bila kufungana ambapo ndan ya mech mbili tumepata point 4 bila ya wachezaji wa Simba
Swali ni je, wachezaji wa Simba hawana impact yeyote pale taifa stars?
Au ndio wanatuhujumu taifa stars tusifanye vizuri.