Umeona nini kwenye hii picha!

Umeona nini kwenye hii picha!

[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Naona umeamua kunigeuzia kibao, naona dalili ya amri ya nane ya Mungu kukiukwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi nataka tu mnitajie duka mlilonunua maana nataka kuwa murembo kama wewe
Nleterewa hivi hicho kipodozi cha miguu tulichanganya na nini kingine.....mimi nakumbuka tuliweka mkojo wa sisimizi, machozi ya samaki, ulimi wa mamba, mkia wa sokwe na juisi ya pilipili kicha. Vingine ongezea [emoji12]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom