SMU umenipoteza mbaya....huyo bibi sijamwona badoNzuri sana hizi illusions. Inaonesha jinsi watu tuanvyoweza ku-perceive tofauti kitu kilele au mtu mmoja kuwa na perceptions tofauti juu ya jambo fulani kutegemeana cericumstance aliyomo (point of view). Wakati mwingine akili ikishajifix kwenye 'chura' inakuwa ngumu sana kuona 'farasi' pia! Kama hapa chini kuna watu wanaweza kushindwa kuona picha ya mwanamke mzee na badala yake wakaona picha ya msichana tu!
![]()
Pole mkuu. Huyo bibi ana kidevu kikubwa na pua yake pia ni kubwa...naye amejifunika kilemba cheupe huku akiacha nywele za mbele zikionekana. Kama unamwona huyo msichana, basi sehemu ya kidevu cha huyo msichana ndio ncha ya pua ya bibi (actually karibu upande wa uso mzima wa msichana ndio pua ya bibi), na shingo ya msichana (kwenye huo mkato hivi), ndio mdomo wa bibi! Halafu sikio la msichana ndio jicho la kushoto la bibi. Jaribu halafu niambie kama umeweza kumuona!SMU umenipoteza mbaya....huyo bibi sijamwona bado
Watatu! mabinti wawili na mzee mmoja.How many people do u see?![]()
huyo binti mmoja kambeba mtoto! jumla sasa ni watu wanne.hivi hapo kwenye pua watu hawajakumbatiana?
How many people do u see?![]()
How many people do u see?![]()
Kudadadeki kama ni mtihani hata nikiibia sipati kitu. Yaani hapo sijapata picha kabisa sijui kwa sababu ya hii swaumu.Pole mkuu. Huyo bibi ana kidevu kikubwa na pua yake pia ni kubwa...naye amejifunika kilemba cheupe huku akiacha nywele za mbele zikionekana. Kama unamwona huyo msichana, basi sehemu ya kidevu cha huyo msichana ndio ncha ya pua ya bibi (actually karibu upande wa uso mzima wa msichana ndio pua ya bibi), na shingo ya msichana (kwenye huo mkato hivi), ndio mdomo wa bibi! Halafu sikio la msichana ndio jicho la kushoto la bibi. Jaribu halafu niambie kama umeweza kumuona!
How many people do u see?![]()
ukitaka kumwona bibi funika kuanzia sikio la msichana na pua lake,halafu angalia sehemu iliyobaki chini,ndo utamwona bibuKudadadeki kama ni mtihani hata nikiibia sipati kitu. Yaani hapo sijapata picha kabisa sijui kwa sababu ya hii swaumu.