PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Wanajamvi,
Uzoefu unaonyesha kuwa asilimia 90 ya wenye ndoa hawajawaoa au kuolewa na wapenzi walioanza nao mapenzi kwa mara ya kwanza.
Binafsi sikumwoa niliyeanza naye, na nina ushahidi wa ndugu na jamaa zangu wengi wenye hali kama yangu.
Je ni kwamba wapenzi wetu wa kwanza huwa ni wa kujifunzia mapenzi, kisha tunawakimbia?
Au mwanzoni huwa hakuna nafasi ya uchaguzi na tunatawaliwa na papara na mihemko zaidi kuliko qualities za wapenzi, na tunakuja kugundua baadaye?
Naombeni maoni.
Uzoefu unaonyesha kuwa asilimia 90 ya wenye ndoa hawajawaoa au kuolewa na wapenzi walioanza nao mapenzi kwa mara ya kwanza.
Binafsi sikumwoa niliyeanza naye, na nina ushahidi wa ndugu na jamaa zangu wengi wenye hali kama yangu.
Je ni kwamba wapenzi wetu wa kwanza huwa ni wa kujifunzia mapenzi, kisha tunawakimbia?
Au mwanzoni huwa hakuna nafasi ya uchaguzi na tunatawaliwa na papara na mihemko zaidi kuliko qualities za wapenzi, na tunakuja kugundua baadaye?
Naombeni maoni.