Umemuelewa vipi January Makamba?

Umemuelewa vipi January Makamba?

alikuwa anaongelea ishu ya Mourinho, hakuna issue nyingine hapo.
Wakati mwingine jaribu ku logic maana hata baba yako mzazi wakati mwingine hapaswi kukueleza vitu direct.. tumia vizuri ubongo utafurahia uumbaji.
 
Mtajikanyaga..mtaongea..mtajikuna..ila magu ndio mwenye nchi..polisi,jeshi na kila vurugu inansujudia yeye..yaani baada ya Mungu nchini anayefuata ni Magu..hata Tundulissu anajua..chochote akiamua kinafanyika..kwa hiyo amewaachia watu waongee na kumchora watakavyo kulinda demokrasia..
Oooops magu mungu wa wapi!????????
 
Baadhi ya vijana wa kitanzania ni WAPUMBAVU SANA, wanategemea kubadilisha utawala wasioupenda kupitia JAMII FORUMS?, kuna jamaa mmoja nimekutana nae Dar Bar moja maarufu katikati ya jiji, yeye alikuwa anaamini hata kabla ya mwezi wa kwanza mwakani European Union na US wangekuja kumuondoa JPM madarakani, nimemsikilizaaaaaaa baadae nikamwambia ajaribu kwenda kumuona daktari, yawezekana ni msongo wa mawazo.Ukisoma post za watu hapa kuna watu wanaamini 2020 kuna mabadiliko kwenye nafasi ya uraisi.Mliambiwa mapema wakazanie viongozi wenu wa upinzani mapema wapiganie tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, nyie kila siku mnadandia kila STORY inayoletwa, mara vitambulisho vya machinga, mara Mnyika ni John wa kwanza, mara Mo katekwa na CCM, mara Membe for 2020,wiki iliyopita ni barua za European Union na US, na niliwaambia kabla ya CHRISTMAS mtaletewa movie nyingine tofauti mtakuwa mmeshasahau. Narudia tena wengi wenu humu ni WAPUMBAVU, aliwaambia Mzee MKAPA kwenye kampeni 2015 na mimi nitakaa nawakumbusha kila mara, sitachoka kuwakumbusha u NYUMBU wenu. Mnaishi kwa matukio tu, hamueleweki mnasimamia nini.JPM yupo mpaka 2025 kama hutaki hama nchi kwa muda, vinginevyo utakufa kwa stress bure tu.
Hongera sn mkuu kw kutuambia ukweli.
 
Ukisoma katikati ya mistari(reading between the lines), unamuelewa vipi Muheshimiwa January??

"Mourinho’s failure at Manchester United isn’t related to footballing but to leadership:
Failure to inspire, to unify, to motivate, to accommodate, to compromise, to manage egos, to adapt to changing circumstances, to judge talent.
You lose the dressing room, you lose on the pitch "

Bila kujali kocha ana uwezo mkubwa na uzoefu wa siku nyingi kiasi gani, mafanikio ya team yatapatikana kwa uongozi bora wa team katika nanja zote. Kujenga timu yenye ari ya ushindi yenye 'chemistry' inayohitajika; kuwa na mahusiano mazuri baina ya wachezaji wenyewe; na baina ya wachezaji na kocha nje ya kiwanja ndiyo kazi ya kocha ili kushinda kiwanjani!
 

Nawaza kwa sauti,kuna mtu anaweza akawa anakerwa sana na JM kwasababu tu anakimudu vizuri kimalkia!
 
Vyovyote hayuko sahihi...kwa mourinho nikocha bora hata kama hajafanikiwa sana ndani ya man u. Sio lazima ashinde kila aendapo makocha wengine nao wanaMungu. Kama nikuhusi magu napo kachemka,nchi inatakiwa iendelee na inyooke sio kuchekeana,kutukanana na kuandamana hovyo. Misimamo migumu na kutovumilia upuuzi wa mtu au hata kujishusha kizembe nijambo zuri
 
Ukisoma katikati ya mistari(reading between the lines), unamuelewa vipi Muheshimiwa January??

"Mourinho’s failure at Manchester United isn’t related to footballing but to leadership:
Failure to inspire, to unify, to motivate, to accommodate, to compromise, to manage egos, to adapt to changing circumstances, to judge talent.
You lose the dressing room, you lose on the pitch "

Kamchokonoa tena... Kamsimanga kizungu....!!!!
 
Mchakamchaka 2020
Ukisoma katikati ya mistari(reading between the lines), unamuelewa vipi Muheshimiwa January??

"Mourinho’s failure at Manchester United isn’t related to footballing but to leadership:
Failure to inspire, to unify, to motivate, to accommodate, to compromise, to manage egos, to adapt to changing circumstances, to judge talent.
You lose the dressing room, you lose on the pitch "

 
Back
Top Bottom