Dakika tano zilizopita umeme umekatika/umekatwa ndani ya majengo yote ya ukumbi wa Bunge na hivyo kulifanya bunge kutokuweza kuendelea .
Alikuwa waziri wa Afya ndio ameanza kutoa majibu ya hoja mbalimbali za wabunge kwani ndio anahitimisha hotuba yake muda huu .
Hivi ni kweli kuwa Bunge halina generator ambazo ni automatic kwa ajili ya kutoa huduma za umeme pindi ukikatika?
Ntawajuza nini kinaendelea punde .
Alikuwa waziri wa Afya ndio ameanza kutoa majibu ya hoja mbalimbali za wabunge kwani ndio anahitimisha hotuba yake muda huu .
Hivi ni kweli kuwa Bunge halina generator ambazo ni automatic kwa ajili ya kutoa huduma za umeme pindi ukikatika?
Ntawajuza nini kinaendelea punde .