Umeme wa Shilingi 5,000 nimepata Units 8.5. Je, tutafika?

Lkn Hii kodi ya JENGO haina tatizo lolote kuiweka kwenye LUKU sababu wanye nyumba walio wengi hawalipi PROPERTY TAX Kinacho takiwa kuwaelewesha Wananchi kodi anayo lipa ni mwenye NYUMBA tu na shillings 1000 kila mwezi kwa hiyo kwa mwaka sh 12000/= tu kwa nyumba za kawaida.

Sione sababu watu kuwa na maneno mengi sababu haiwezi kuzidi sh1000 kwa mwezi kwa nyumba ya kawaida sema tatizo sisi Kama WATANZANIA tumezoea ku- exaggerate vitu vingi sn .

Sasa kinacho takiwa kama mpangaji wa nyumba unakaa kweny nyumba ambayo OWNER hakai hapo lazima kwenye KODI YAKE ITOLEWE SH 12000 kama malipo ya JENGO kupitia LUKU basi shida ipo wapi hapo?.
Bongo kila kitu tunaingiza siasa ndio inafanya watu wanalalamika tu ilimradi ila ukiangalia hili suala hakuna hata kulalamika kwa sababu kodi ya majengo ipo tu siku zote sio kitu kipya, labda wahoji kuhusu wapangaji au kwa wenye luku zaidi ya moja ila hii ya kulalamika kukatwa buku tu kila mwezi kwa mwaka elfu kumi na mbili kodi ya majengo sioni cha kulalamika.
 
Kabisa kwa sasa ni vyema mtu ukakubali kueka pesa ya kutosha kwenye solar uachane na tanesco kabisa
Sasa buku tu kwa mwezi tena kwa kulipia kodi ambayo ilikuwepo toka mwanzo ndio ifanye uweke solar?
 
Bongo kila kitu tunaingiza siasa ndio inafanya watu wanalalamika tu ilimradi ila ukiangalia hili suala hakuna hata kulalamika kwa sababu kodi ya majengo ipo tu siku zote sio kitu kipya, labda wahoji kuhusu wapangaji au kwa wenye luku zaidi ya moja ila hii ya kulalamika kukatwa buku tu kila mwezi kwa mwaka elfu kumi na mbili kodi ya majengo sioni cha kulalamika.
Kwenye LUKU Zaid ya moja ndio shida itakapo anzia hapo maana umakini wakufanya kazi na kulitatua TANZANIA ndio shida kubwa iliyopo.

Na uhakika kabisa hapo ndio patakuwa na changa moto kubwa sn sababu kuna nyumba zingine zina LUKU ZAIDI YA 5 zenye majina tofauti tofauti japo kuwa kinakacho angaliwa zaidi nafikiri ni Block NO na PLOT NO.
 
Kodi ya majengo imeanza kutushughulikia, yaani Tshs. 5,000 naishia kupata Unit 8.5 badala ya 14.1 kama ilivyokuwa zamani.

Tunakoelekea kutakuwa na tozo ya tozo, maana anaupiga mwingi!

View attachment 1901225
Bora wewe mkuu soma hapo chini ,siishi gorofani wala jumba la kishua👇
IMG_20210821_171714.jpg
 
2025 utasikia mkinichagua nafuta Tozo za Simu wakati Sasa hivi yupo bungeni kakaa kimya anaunga mkono Tozo, hawa wagombea Urais wanatuona sisi wakudanganywa
 
Au haka kamama kalimuuwa mwendazake ili kapate urithi wa keki ya taifa
 
LUKU
43013229455
990022123220276993
0.9KWH

2574 6597 4058 4750 5427

Cost 245.91
VAT 18% 44.26
EWURA 1% 2.46
REA 3% 7.37
Debt Collected 2,000.00
TOTAL 2,300.00

👆👆👆👆👆👆👆

Hali sasa nimbaya nikuueana njaaa

Nimenunua umeme wa 2300 nimekosa UNIT hata moja yote imekatwa nimeamnulia ut 0.9 HIVI HII NCHI TUTAFIKA KWELI......?
Aisee
 
Kodi ya majengo imeanza kutushughulikia, yaani Tshs. 5,000 naishia kupata Unit 8.5 badala ya 14.1 kama ilivyokuwa zamani.

Tunakoelekea kutakuwa na tozo ya tozo, maana anaupiga mwingi!

View attachment 1901225
Kwa hiyo hiyo hela yako nimepata unit 1.5
LUKU
37212843355
990022123320138178
1.5KWH

0029 2493 0496 3524 7260

Cost 409.84
VAT 18% 73.77
EWURA 1% 4.10
REA 3% 12.29
Debt Collected 4,500.00
TOTAL 5,000.00
 
Watu tunalalamika nyuma ya keyboard tukiwa ndani, Badala ya Kutoka nje.
 
Back
Top Bottom