CORAL
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 2,789
- 1,782
Halafu sauti hiyo hiyo ilisema bia sh 1000Tutafika TU!
# 'Watanzania wamekubali kulipa tozo ya uzalendo", ilisikika sauti ya mwanamke mmoja mahali Fulani!
Halafu sauti hiyo hiyo ilisema bia sh 1000Tutafika TU!
# 'Watanzania wamekubali kulipa tozo ya uzalendo", ilisikika sauti ya mwanamke mmoja mahali Fulani!
Yaani President anapiga mulemule kwenye very basic needs za kila familia. Inflation coming soon.
Yaani hawa watu imebaki watumalizie na kodi ya kuvuta oxygen
Jikazeni tu na 2025 mrudie madudu
Uzuri madhara ni yetu sote, sio ya chama....Magufuli alikosea Sana kuwaondoa wabunge wa upinzani bungeni,ni kosa la Karne alilofanya, na baadhi ya watanzania magoigoi wa kufikiri walishangilia Sana,hawakujua madhara
Atachukua, atagombea na atapita bila kupingwa.Mi najiuliza hivi huyu anaeshauri haya manini sijui hivi anaweza jaza fomu ya kuomba ridhaa 2025?
2022 Ujenzi wa BWAWA LA UMEME Mwalimu Nyerere unakamilika......Kodi ya majengo imeanza kutushughulikia, yaani Tshs. 5,000 naishia kupata Unit 8.5 badala ya 14.1 kama ilivyokuwa zamani.
Tunakoelekea kutakuwa na tozo ya tozo, maana anaupiga mwingi!
View attachment 1901225
Hna akiliYaani President anapiga mulemule kwenye very basic needs za kila familia. Inflation coming soon.
Yaani hawa watu imebaki watumalizie na kodi ya kuvuta oxygen
Kungekuwa na ahueni kidogo.Hata wabunge wa upinzani wangekuwepo bado wabunge wa ccm wako wengi.