skull
Senior Member
- Aug 18, 2016
- 157
- 104
Wakuu poleni na majukumu, natambua uwepo wa mafundi laptop humu sasa shida yangu ni kuwa umeme umeniunguzia laptop yangu, Je nifate taratibu zipi kurepair power supply ya ndani ambayo probably inaweza kuwa imeungua?
Maana laptop ilikuwa full charged but plugged in sasa ghafla nawasha imegoma kuwaka hakuna indicator yoyote hata niki-plug in nahitaji muongozo kabla ya kwenda kuwaona experts technician, mimi pia ni mtaalamu wa mambo ya telecommunication, asanteni.
Maana laptop ilikuwa full charged but plugged in sasa ghafla nawasha imegoma kuwaka hakuna indicator yoyote hata niki-plug in nahitaji muongozo kabla ya kwenda kuwaona experts technician, mimi pia ni mtaalamu wa mambo ya telecommunication, asanteni.