mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,596
- 8,878
Wakuu, habari zenu.
Nimekuja one time kibiashara jimboni kwa PM ajabu toka nimefika naona umeme ni shida mno wenyeji wanasema ni kawaida sasa hata kwa Waziri Mkuu umeme haueleweki?
Nashauri wahusika wachukuliwe hatua kikawaida ni haki ya mteja kujulishwa katizo au tatizo lolote lililopelekea umeme kukatika.
Anyway niwaache na majanga yenu nirudi kwetu A TOWN
Nimekuja one time kibiashara jimboni kwa PM ajabu toka nimefika naona umeme ni shida mno wenyeji wanasema ni kawaida sasa hata kwa Waziri Mkuu umeme haueleweki?
Nashauri wahusika wachukuliwe hatua kikawaida ni haki ya mteja kujulishwa katizo au tatizo lolote lililopelekea umeme kukatika.
Anyway niwaache na majanga yenu nirudi kwetu A TOWN