Ingewekwa ya JK anacheza mziki ingekua NONGWA,, ooh! hajali watu wanakufa,, yeye anacheza mziki na mkewe tu!!
Mna jema nyie!!!??,, kama lile dude maji linalofanyiwa operesheni,, likiekwa mbele linasema UNANITIA AIBU,, likiwekwa kati OOH! UNANIBANA,, basi kaa nyuma OOH! UNANIDHARAU..... ilimradi kaaaazi kweli kweli