Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 5,084
- 8,346
Ndio hapo anakuja kugundua kashachelewaHuu Ni umri wa mashauzi na kujiona mjanja. Wanakuja kugutuka saa kumi alasiri
Ndio hapo anakuja kugundua kashachelewaHuu Ni umri wa mashauzi na kujiona mjanja. Wanakuja kugutuka saa kumi alasiri
Unanifunguliaga Mimi tuPM yangu iko closed 😃😃,, au unataka nifungaje😃😃😃🤔
Aisee 😃😃😃,,, Kwani na wewe bado unatafuta ndoa mkuu😄😄🤔Unanifunguliaga Mimi tu
Ndio kijifariji kwamba hata usipoolewa utaishi tuSio kujifariji😃😃,, ni kwamba sitaki kujipa stress zisizo na msingi
Nina Mjukuu anahitaji Mke, fanya mpango ulete mahari 🤪Ntaoa
Unataka nikuoe kwani?Aisee 😃😃😃,,, Kwani na wewe bado unatafuta ndoa mkuu😄😄🤔
Kuna aliyewahi kufa sababu ya kukosa ndoa kwani😃Ndio kijifariji kwamba hata usipoolewa utaishi tu
me nishaolewa tayari 😄Unataka nikuoe kwani?
Aaah wapi UONGOme nishaolewa tayari 😄
Kwa sababu gani ?Ntasumbua sana waganga....sanaa
Hakuna Ila sasa Giza likiingiaKuna aliyewahi kufa sababu ya kukosa ndoa kwani😃
ANa hela?🤒👍Nina Mjukuu anahitaji Mke, fanya mpango ulete mahari 🤪
Ndio mkuuNa utaoa kweli sio utani
Hahaha..........hela ya kukuhudumia kama mke anayo.ANa hela?🤒👍
😆😆 utakua hukosi route za bagamoyo,msata kwa kina mshanà,Tanga! Hahahah..chale had kwenye kissmeNtasumbua sana waganga....sanaa
Utaoa mdoliNdio mkuu
Hanifai...!nna alergy na mambo ya shamba..labda nikimuoa mtupe mtaji😋Hahaha..........hela ya kukuhudumia kama mke anayo.
Ila ujifunze shughuli za shamba maana ndiyo kazi zake 🤪
Ah wapUtaoa mdoli