Sawa Mkwe, usimtese tu Mjukuu wangu maana kwa haraka haraka inaonekana U Mbabe, huchelewi kumwambia leo nimechoka kwenye biashara zangu nataka unipikie na unitengee maji ya kuoga 🤪
Sawa Mkwe, usimtese tu Mjukuu wangu maana kwa haraka haraka inaonekana U Mbabe, huchelewi kumwambia leo nimechoka kwenye biashara zangu nataka unipikie na unitengee maji ya kuoga 🤪
Mstari wa pili si kweli niliona zamani trend zinaonyesha Siku hizi wanaume na wanawake wanachagua not to get married, so uchague mwenyewe halafu likukoseshe amani??? Labda kwa wale waliokuwa wanaitaka sana ndoa, Napo ina umri ukifika wakati fulani Una accept fate yako