Umejifunza nini Mgogoro wa Jackline Ntulyabaliwe vs Familia ya Reginald Mengi?

DeepPond

JF-Expert Member
Nov 18, 2017
40,485
99,223
Wakuu Natumai mmeamka vema kabisa.

Mgogoro Kati Bi. Jackline Ntulyabaliwe ( msanii k-lyn) na Familia ya marehem Biliionea mfanyabiashara Bw. Reginald Mengi (Mzee Mengi) umechukua sura mpya katika jamii yetu.

Yote hii inachangiwa zaidi na umaarufu waliokua nao Wote wawili.

Hapa tunaongelea Drama nzima Tangu walipoanza mahusiano yao mpaka Hatima ya hukumu ya mahakama hapo juzi.

Ilianza hivi

Wakakutana kwa Mara ya Kwanza kwenye msiba wa baba ake Jacky,wakapendana

wakachumbiana,

wakapata watoto mapacha,

starehe za hapa na pale uku mzee akatwiti updates za mahaba Moto Moto na caption kadhaa,

Mzee akaugua, matibabu hapa na pale.

Safari ya familia Dubai ,

Mzee akafariki akiwa dubai,

Mzee akazikwa kwao alikozaliwa machame,

ukasomwa usia wa marehemu,

Buku buku zikasomwa kwa watakaokaidi

Usia ukasema msimamizi wa mirathi atakua shemeji mtu (dada wa Jacky)

Usia ukasema na Mwanasheria nae atarithi, meneja nae atarithi.

Vugu vugu likaibuka na Usia ukakataliwa na wanafamilia.

Vuguvugu likaendelea, Watu wakaanza kuuza na kujimilikisha Mali za marehemu

kesi ikaenda Mahakamani.

Mahakama ikatoa amri, hamna kuuza Wala kuibadilisha umiliki wa Mali yoyote aioacha marehemu mpk kesi ya msingi itakaposikilizwa.

Kesi ikaendelea kusikilizwa, mazito yakaibuka

Mkuu wa mkoa akaibuka na mtizamo wake wake, Chama Cha wajane nacho kikaibuka kumtetea mjane mwenzao.

Jacky akazuiwa kufika kaburi la marehemu bila ruhusa.

Mahakama ikatoa hukumu na Familia Ikashinda kesi kwa sababu zifuatazo

Sahii ya marehemu ilifojiwa, ni tofauti na Sahii nyingine zilizo Kwenye nyaraka nyingine.

Usia haukufungwa Kwenye bahasha Wala kubandikwa seal yoyote.

Wakati Usia unaandikwa marehemu hakua sawa kiakili

Usia ulihifadhiwa na wanufaika wenyewe wamarathi.

Usia uliwabagua watoto wengine wa marehemu bila sababu za msingi.

Usia ulijumuisha Mali nyingine zisizo milikiwa na marehemu.

USia ukaonekana Ni Batili na kuamuliwa watoto wa marehemu na Kaka wa marehemu kusimamia mirathi upya.

KWA HAPO
ila nna imani hata uku mitaani yanatokea mara kwa mara.

Sema haitangazwi wala haijulikani Sana Sana Kama ilivyojulikana kwa wahusika maana wahusika kwa asilimia kubwa Ni vioo vya jamii.

Na kwa namna Moja ama nyingine,
Kupitia kwenye vioo vya jamii, jamii huweza kujifunza Mambo mbalimbali kwa manufaa ya jamii husika kwa Sasa au hata baadae.

Wewe Kama mwanaJAMIIFORUMS, Umejifunza Nini kutokana na hili Sakata zima?
IMG_20210523_104140.jpg
IMG_20210523_104744.jpg
 
Nilichojifunza:

Kwa sisi wanaume
Kuna umri flani ukifikia (60+yrs) na ukawa umefikia hatua flan ya mafanikio kimaisha
(10+ billions weathly)

Unapaswa kuomba hekima ya Mungu ikuongoze zaidi kumcha Mungu wako kuliko kushindana na vijana wanaobalehe kushow mahaba mitandaoni
Screenshot_20210523-122944.jpg
 
Ukiwa na bwana tajiri mwambie akupe Siri za utajiri na akufundishe kuendesha BIASHARA kwa mafanikio, sio utegemee kurithi visivyokuhusu.
Wakati wa gegedo unapigapiga tu makelele yasiyo na mpango Wala mpangilio, ohh hapohapoy, ingiza yote, ahhhhhb, shhhh.... I'm cumming, I'm cumming.....
pumbavu kabisa, huo Ni muda sahihi wa wewe kutaja investment unazozitaka uanzishiwe.
Bora hata ungeomba biashara ya mabasi yaendayo mikoani Kama bichwa lako limeshindwa kabisa kubuni biashara
 
1. Unapoowa au kuolewa ni busara kuorozesha mali zako zote mahakani au kwa mkuu wa wilaya kama likitokea la kutokea uko mbele basi mwanamuke au mwanaume atanufaika na kile kichoongezeka toka siku ya kwanza mulipofunga pingu za Maisha, hila watoto watakuwa wanufaika kwa kila kitu ambacho wamekikuta na kichoongezeka.

2.usiowe binti mdogo wakati umri ni mkubwa sana e.g 70/40 or 60/25
 
Nilichojifunza hapo ni kwamba shemeji wa marehemu(dada wa jack), mwanasheria na meneja ambao wapo kwenye urithi na jack mwenyewe wafunguliwe mashtaka ya njama za kusababisha kifo cha marehemu.
 
Ukiwa tajiri usioe. Marriage is for people.

# I am too rich to get married
 
Hizi itakua Jack alikua anajiandikia tu...

Kuna dem huwa anachukua simu ya msela wake,anajipost na kuandika "wife" tunajua mwamba kazama dimbwini kumbe mwanamke mwenyewe anajizamisha dimbwini
possible
 
Ukiwa na bwana tajiri mwambie akupe Siri za utajiri na akufundishe kuendesha BIASHARA kwa mafanikio, sio utegemee kurithi visivyokuhusu.
Wakati wa gegedo unapigapiga tu makelele yasiyo na mpango Wala mpangilio, ohh hapohapoy, ingiza yote, ahhhhhb, shhhh.... I'm cumming, I'm cumming.....
pumbavu kabisa, huo Ni muda sahihi wa wewe kutaja investment unazozitaka uanzishiwe.
Bora hata ungeomba biashara ya mabasi yaendayo mikoani Kama bichwa lako limeshindwa kabisa kubuni biashara
Nadhani dada hakujua Kama yatakua magumu ivi.

Alijua mzee akishakufa urithi wote wake
 
1. Unapoowa au kuolewa ni busara kuorozesha mali zako zote mahakani au kwa mkuu wa wilaya kama likitokea la kutokea uko mbele basi mwanamuke au mwanaume atanufaika na kile kichoongezeka toka siku ya kwanza mulipofunga pingu za Maisha, hila watoto watakuwa wanufaika kwa kila kitu ambacho wamekikuta na kichoongezeka.

2.usiowe binti mdogo wakati umri ni mkubwa sana e.g 70/40 or 60/25
Nakubaliana na wewe,
Ni ngumu Sana binti wa Miaka 25 avutiwe kimahaba na baby wa Miaka 70+ bila Nguvu ya ziada kutumika.

She was there purposely
 
Back
Top Bottom