Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 841
[h=6]Jana alfajiri amekuja wifi yangu mke wa mdogo wangu analia usiku wakuamkia hiyo jana kamfumania mume wake na house girl wao. Yeye ana salon yake m,nyamala na huwa siku zote anarudi saa 5 hadi 6 usiku hana hata siku ambayo anakaa nyumbani kuangalia watoto au kumpikia mume wake kila kitu anafanya h.girl. Sasa jana baada ya yeye kuja kushtaki tukamuuliza huyo mume kwanini amefanya hivyo? Anasema ameshachoka na mambo ya mkewe ameshamkanya sana hasikii vilevile hata unyumba hataki kunipa nina mwezi sasa nikimwambia anasema anaumwa kwahiyo nimeamua kuwa na huyu msichana siwezi kupata shida wakati kuna mtu ndani anaweza kunipa ninachotaka. khaaa tukabaki mdomo wazi nikasema haya mambo yakukosa muda kabisa na familia pia ni chanzo cha mume kufanya ujinga wake na house girl. je ingekuwa wewe ndio mie niliekuja kushitakiwa ungefanyaje?
Hadi hapa napoandika,mke hamtaki tena mume anachotaka talaka yake tu. Mwanzo alimwambia huyo hg atabaki hapo awalee watoto wake mpaka wakue leo kabadilika kaenda kumchukua msichana hata hatujui kampeleka wapi na yy ndio aliemleta.[/h]
Hadi hapa napoandika,mke hamtaki tena mume anachotaka talaka yake tu. Mwanzo alimwambia huyo hg atabaki hapo awalee watoto wake mpaka wakue leo kabadilika kaenda kumchukua msichana hata hatujui kampeleka wapi na yy ndio aliemleta.[/h]