Davion Delmonte Jr.
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 2,149
- 1,710
..... eti wanasema wanahitaji mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa watoto wengi..... hili mnalionaje wadau kwanini wanaume wengi wanapenda kuzaa watoto wengi.... mimi kwa kweli ni kijana bado sina mtoto bado nna ka elimu kadogo lakini namimi natamani sana mwanamke mwenye uwezo wa kuzaa watoto wengi, mambo ya uzungu mi kwangu hayana nafasi hata kitogo " suala la mtoto mmoja tu au wawili tu, ntakuacha"....... ONYO: ILA UWEZO WA KUWALEA UWEPO