Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Leo ni J2 siku ya disco. Watu wanadamka asubuhi kwenda kucheza disco katika kumbi mbalimbali.Maeneo ya mission leo ni disco zito na watu wakoshazi. Karibu yangu kunaukumbi hapa unasumbua sana. Wewe leo umehudhuria ukumbi gani? Kiongozi wenu anayeongoza disco kasema nini? Au haukwenda umeamua kufungulia disco nyumbani kupitia radio wanachama wa disco? Kiongozi amewahimiza nini kuhusu kile chamachenu cha Chama cha Maendeleo ya Disco?