Kapo Jr
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 996
- 280
Mungu kaumba ulimwengu na walimwengu, katupa ruhusa ya kuvuta pumzi na kuenda sawia au tofauti na amri zake, hapa nimefikiri bila ukomo kwake Mungu na amri zake kwetu viumbe wake, je uongozi/utawala au milki za kidunia zina amri na taratibu zake? na ikiwa zipo kwa nini hazifuatwi au ni kizazi(sodoma)ovu? na kama kusingekua na utawala/uongozi wa kisheria tungeishi salama? au utawala wa kisheria ndio chanzo? kwa mwendo huu nna hofu hapa kwetu, ni fikra zangu kiufupi, tujadili wakuu