Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Habari za siku tele,
Nipo kama sipo.... nimetingwa hatarii hadi nimesahau kama mahaba yapo.
Leo niko na issue ya kawaida tuu, tumezoea kusikia mti akisema mtu mwenyewe una sura ya baba au unajifanya mrembo huku sura ya baba. Au mtu anaambiwa na wenzie kwa kejeli, unatusumbua tuu hapa una sura ya mama na vitu kama hivyo.
Nimejiuliza tuu, sura ya kike ni ipi na ya kiume ni ipi? Au tumecremisha mwanaume ndo mbaya na mzuri ni mwanamke?
Ngoja niwaulize, inakuwaje pale mschana mrembo wa sura akija kuzaa mtoto wa kiume afanan nae mnoo, huyo mtoto akiwa mkubwa watasema ana sura ya kike. Na ikitokea mwana kaka wa kawaida tuu (waswahili wanasema ana sura ngumu) akipata mtoto wa kike na wakafanana mnoo, huyo mtoto akiwa mkubwa ataambiwa ana sura ya kiume.
What if mtoto wa kiume afanana na mama yake sanaa ile tunasema kopiraiti, lakini mama yake alifanana na baba yake mno (babu wa mtoto wa kiume) hapo hamuwezi sema huyo mtoto ana sura ya kike bali ya kiume.
Vivo hivyo pale mtoto wa kike anapo fanana sana na baba yake huku lakini baba yake alifanana mno na mama yake (bibi wa mtoto) huyo mtoto hatuwezi sema ana sura ya kiume.
Haifai na si vyema kubeza watu wana sura ya kike au ya kiume. Sote tumeumbwa kwa sura na mpango wa mungu, mzuri kwako mbaya kwa mwingine, mbaya kwako mzuri kwa mwingine.
Jumapili njema.
Ciao.
Kasie Matata.
Nipo kama sipo.... nimetingwa hatarii hadi nimesahau kama mahaba yapo.
Leo niko na issue ya kawaida tuu, tumezoea kusikia mti akisema mtu mwenyewe una sura ya baba au unajifanya mrembo huku sura ya baba. Au mtu anaambiwa na wenzie kwa kejeli, unatusumbua tuu hapa una sura ya mama na vitu kama hivyo.
Nimejiuliza tuu, sura ya kike ni ipi na ya kiume ni ipi? Au tumecremisha mwanaume ndo mbaya na mzuri ni mwanamke?
Ngoja niwaulize, inakuwaje pale mschana mrembo wa sura akija kuzaa mtoto wa kiume afanan nae mnoo, huyo mtoto akiwa mkubwa watasema ana sura ya kike. Na ikitokea mwana kaka wa kawaida tuu (waswahili wanasema ana sura ngumu) akipata mtoto wa kike na wakafanana mnoo, huyo mtoto akiwa mkubwa ataambiwa ana sura ya kiume.
What if mtoto wa kiume afanana na mama yake sanaa ile tunasema kopiraiti, lakini mama yake alifanana na baba yake mno (babu wa mtoto wa kiume) hapo hamuwezi sema huyo mtoto ana sura ya kike bali ya kiume.
Vivo hivyo pale mtoto wa kike anapo fanana sana na baba yake huku lakini baba yake alifanana mno na mama yake (bibi wa mtoto) huyo mtoto hatuwezi sema ana sura ya kiume.
Haifai na si vyema kubeza watu wana sura ya kike au ya kiume. Sote tumeumbwa kwa sura na mpango wa mungu, mzuri kwako mbaya kwa mwingine, mbaya kwako mzuri kwa mwingine.
Jumapili njema.
Ciao.
Kasie Matata.

