Umeanza na kitabu gani 2016?

Umeanza na kitabu gani 2016?

da.. kwa elimu yetu ya kibongo naishia kusoma desa tu.. hata mda wa kusoma vitabu vya ziada sina..
 
@msezamkulu story inaanza Danny akiwa na miaka 8,ilikuwa fanily ya kiyahudi mjini New york,ni hadithi imejaa mikosi balaa,babake danny siku ya birth ya danny alinunua nyumba wakahamia na akamwambia mwanae hiyo ni zawadi yako ya birthday!
kipindi hicho wayahudi wakichukiwa sana kwa tuhuma za kumuua kristo.
ile nyumba ilikua na mikosi,walipohamia tu hapo kila kitu kikaanza kwenda kombo,mzee biashara zikagoma hadi akafirisika,kula ikawa ngumu,kulipa bili ikawa ishu!danny akajiingiza katika dondi za mitaani ili kupata pesa za kulisha family!
wakafukuzwa kwenye nyumba yao kwani walikua bado wanadaiwa na benki,wakahamia gheto.
danny akapendana na binti mmoja wa kikristo,family zote mbili hazikukubaliana juu ya tofaui ya imani.
danny alikuwa mpiganaji mzuri wa dondi sasa alifika fainal,mafia wakamfuata na kumwambia pambano la mwisho lazima ashindwe kwani kuna?mafia walikuwa wamebet.danny akachukua pesa na hakufanya kama mafia walivyotaka!
hapo ndo moto ulipowaka ulipoanza msako wa hayawani.





mwisho alikuja kumake money,kosa alilofanya kurudi kuinunua ile nyumba yao tena,licha ya mkewe kumwambia ina mkosi!
siku anahamia tu ,mikosi ikaanza upya,,,,,,,,,,,ALIKUFA
 
da.. kwa elimu yetu ya kibongo naishia kusoma desa tu.. hata mda wa kusoma vitabu vya ziada sina..
utafiti unaonyesha hakuna excuse ya mtu kutokusoma kitabu.
jitahidi ziku za weekend, mida ya ibada, unapata hata saa.Movie,series,uefa,epl hizi huwa haziufanyi ubongo ufikiri kama ukifungua kurasa.
Soma hata kitabu kitakatifu.
 
@msezamkulu story inaanza Danny akiwa na miaka 8,ilikuwa fanily ya kiyahudi mjini New york,ni hadithi imejaa mikosi balaa,babake danny siku ya birth ya danny alinunua nyumba wakahamia na akamwambia mwanae hiyo ni zawadi yako ya birthday!
kipindi hicho wayahudi wakichukiwa sana kwa tuhuma za kumuua kristo.
ile nyumba ilikua na mikosi,walipohamia tu hapo kila kitu kikaanza kwenda kombo,mzee biashara zikagoma hadi akafirisika,kula ikawa ngumu,kulipa bili ikawa ishu!danny akajiingiza katika dondi za mitaani ili kupata pesa za kulisha family!
wakafukuzwa kwenye nyumba yao kwani walikua bado wanadaiwa na benki,wakahamia gheto.
danny akapendana na binti mmoja wa kikristo,family zote mbili hazikukubaliana juu ya tofaui ya imani.
danny alikuwa mpiganaji mzuri wa dondi sasa alifika fainal,mafia wakamfuata na kumwambia pambano la mwisho lazima ashindwe kwani kuna?mafia walikuwa wamebet.danny akachukua pesa na hakufanya kama mafia walivyotaka!
hapo ndo moto ulipowaka ulipoanza msako wa hayawani.





mwisho alikuja kumake money,kosa alilofanya kurudi kuinunua ile nyumba yao tena,licha ya mkewe kumwambia ina mkosi!
siku anahamia tu ,mikosi ikaanza upya,,,,,,,,,,,ALIKUFA
duu, teachable.
kipaji ni bora kuliko ajira. Unaweza kufuzwa kazi lakini sio kipaji. naona hata katikati ya umasikini na mikosi ndondi dogo ilimsaidia kujipatia kipato
 
Mwaka huu ninakimbizana na kitabu cha joshua bin sira,
Pamoja na THE GODFATHERS RETURN
 
Ntaendelea na kusoma kitabu cha Ufunuo wa Yohana nilichoanza mwaka jana, dead aid cha dambisa moyo (nahisi nimebaki peke yangu sijakisoma) pamoja na vitabu vya malezi ya watoto na vijana ambavyo sijaviainisha bado.
 
Ndugu yangu, mimi kila ninaposhika kitabu ikifika kuanzia kurasa 6 na kuendelea basi huwezi amini naweza pitiwa na usingizi hapo hapo.

Kuna vitabu huwa nalazimishwa naambiwa "hebu kisome utakipenda kizuri sana" napewa niondoke nacho, basi nikifika nyumbani nikianza kukisoma nitaanza vizuri, mbeleni na usingizi unanichukua.

Ahsante, nitafanya jitihada.

Ushauri wako nimeupokea kwa mikono yangu yote miwili
Unakosa uhondo na maarifa mengi mkuu. Jaribu kutafuta kitabu kidogo halafu utaona, kisiwe kikubwa kitakukatisha tamaa mapema. Watakuja wenye kujua vizuri watakushauri jinsi ya kuanza.



Kama ambavyo unashauriwa kufanya mazoezi ya mwili. Ubongo wako pia unahitaji mazoezi ili usisinyae au kudumaa.
Mazoezi ya ubongo bora kabisa ni kusoma vitabu(mental stimulation).

hii ni moja kati ya faida lukuku. Anza kidogo kidogo mkuu. sio rahisi lakini inawezekana
Ahsante, ushauri nimeupokea. Ntajitahidi.

Nitaanza na hiki kitabu:- The power of the pussy
 
Hiv donald trump ajatoa kitabu kweli, maana nna shauku ya kumfuatilia huyu jamaa ili niweze kujua kile anacho kiwaza na kukifkiria ktk maisha yake
 
hiki kipo cha kiswahili#charminglady? kuna rafiki nataka nimnunulie.
Huwa naona vya kiingereza tu, tena softcopy

Ndio mkuu vipo vingi tu... Kama uko Dsm nenda Kanisa la Waadventista Wasabato Magomeni Mwembechai. Other wise ulizia ofisi ya Jimbo kuu eneo ulilopo....
 
The Dark side of Nyerere's legacy by Ludovick s.mwijage
naona jamaa amejikita kwa mabaya tu ya baba wa taifa
 
Mimi naanza na God (Delivering Hope To A Lost And Dying World) cha Robert Woeger, kina page chache tu 78!!
 
Back
Top Bottom