DSpecial
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 482
- 161
Mimi namlaumu rais wa nchi hii tu! Yeye ndiye muasisi wa mambo haya. Watu wa dini yake wanafanya fujo kila siku na hatuoni wakikamatwa. Wengine wanafundisha watoto kufanya fujo lakini hawchukuliwi hatua yoyote ile. Wanaachwa kwa amri ya ikulu. Marais waliopita kulikuwa hakuna ujinga huu kabisa!!
Acha ufinyu wa fikra wewe