Theodore Bagwell
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 940
- 226
Labda wameanza kufuga NOAH
Samahani mkuu hivi hakuna wanaompa malalamiko yakamfikia? Iwe kwa njia ya wawakilishi au kitu kama hicho?
Naomba msaada hapa, inaelekea wewe uko vizuri
Mkuu tuvumilie kama kuna uhai 2015 sio mbali, unaonaje best wangu?Hata kama yanamfikia, yule jamaa ana uswahili mwingi sana ndio maana alikuwa akiwatumia viongozi wa dini wampigie kampeni. Haiwezekani mpaka leo lile tukio la arusha kanisani hakuna mtu aliyechukuliwa hatua yoyote!! Ni kwa sababu ni watu wa jamii yake.
Shule ya Ubwe si ni ya Kanisa?
ni shule ya serikali ni umbwe si ubwe.one of the best school in tanzania nilipita o-level wachaa katika maisha yangu ya shule furaha niliipata pale mtisafi.kibosho umbwe
mti safi...hivi lobilo,protas na mallya wapo bado
Samahani mkuu hivi hakuna wanaompa malalamiko yakamfikia? Iwe kwa njia ya wawakilishi au kitu kama hicho?
Naomba msaada hapa, inaelekea wewe uko vizuri
shule ilikuwa ya kanisa hiyo, Holly Ghost Fathers...
hata mie nilipita hapo
2000-2003 hakuna shule niliyoifurahia kama hiyo enzi za msele na
makange nidhamu malya
Sipo eneo la tukio lakini wakorofi nishawajuwa