Umasikini ni laana katika nchi kama Tanzania yenye raslimali kila mkoa

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,881
Wadau UMASKINI ni LAANA hasa pale NCHI hiyo inakuwa na kila AINA ya RASLIMALI kama TANZANIA
Binafsi huwa Najiuliza kwanini TANZANIA watu wake ni MASIKINI wa KUTUPWA wakati ina RASLIMALI kila MKOA?

Je, Tunakwama Wapi?

Je, Tatizo ni UONGOZI umekosa DIRA MAONO na UBUNIFU?

Je, TATIZO ni SIASA za hiki CHAMA TAWALA? Nakosa MAJIBU

Lakini Binafsi NALIA na VIONGOZI wetu KUKOSA UBUNIFU wafanye NINI kupambana na Huu UMASIKINI wa WATU wake.

Na TATIZO hili linachangiwa sana na SIASA na kukosa KATIBA BORA yenye MISINGI IMARA na MADHUBUTI ya Kutumia RASLIMALI Zilizopo VIZURI

Tusipoangalia MASIKINI wa NCHI hii hawataingia MBINGUNI kwani UMASIKINI wetu ni WAKUJITAKIA MUNGU alipotupa RASLIMALI kila MKOA alitaka WATANZANIA wasiwe MASIKINI.

1653378692194.jpg
 
Hizo Rasilimali wewe kama wewe unazifanyia nini ?hata ukipewa gunia la Tanzanite je utalichemsha upate hata supu?
 
Kila nchi ina rasilimali hivyo siyo big deal kuwa tu na rasilimali kwa hiyo siyo swala la kuwa na rasilimali bali ni mfumo wa nchi ambao unafwata meritocracy ndio unaweza kujenga Nchi au kwa maana nyingine mfumo ambao mtu anapata kazi na kuweza kupanda ngazi kupitia ufanisi na uhodari wake tu na siyo maneno na mipasho kama Nape.

Bila ya meritocratic system hakuna maendeleo, Nchi ambayo mtu kaghushi cheti cha ufaulu anatetewa na raisi wa nchi haiwezi endelea hata siku moja labda kulogana tu na umbea na majungu, kwa hali ya kawaida viongozi wengi Tanzania hawakupaswa kufika hapo na kuwa waamuzi wakuu wa mambo muhimu ambayo yanaathiri maisha ya watu, talking about Makamba, Nape na mdosi wao!
 
Kila nchi ina rasilimali hivyo siyo big deal kuwa tu na rasilimali kwa hiyo siyo swala la kuwa na rasilimali bali ni mfumo wa nchi ambao unafwata meritocracy ndio unaweza kujenga Nchi au kwa maana nyingine mfumo ambao mtu anapata kazi na kuweza kupanda ngazi kupitia ufanisi na uhodari wake tu na siyo maneno na mipasho kama Nape.

Bila ya meritocratic system hakuna maendeleo, Nchi ambayo mtu kaghushi cheti cha ufaulu anatetewa na raisi wa nchi haiwezi endelea hata siku moja labda kulogana tu na umbea na majungu, kwa hali ya kawaida viongozi wengi Tanzania hawakupaswa kufika hapo na kuwa waamuzi wakuu wa mambo muhimu ambayo yanaathiri maisha ya watu, talking about Makamba, Nape na mdosi wao!
Sio kila Nchi ina Raslimali kama Tanzania mkuu Tanzania inazizidi Nchi nyingi sana lakini raia wake wachovu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wananchi wamefanywa masikini Ili watawaliwe. Kushindwa kwa ccm, kumeonyesha hakukuwa na maana ya kudai UHURU.
 
Wadau UMASKINI ni LAANA hasa pale NCHI hiyo inakuwa na kila AINA ya RASLIMALI kama TANZANIA
Binafsi huwa Najiuliza kwanini TANZANIA watu wake ni MASIKINI wa KUTUPWA wakati ina RASLIMALI kila MKOA?

Je, Tunakwama Wapi?

Je, Tatizo ni UONGOZI umekosa DIRA MAONO na UBUNIFU?

Je, TATIZO ni SIASA za hiki CHAMA TAWALA? Nakosa MAJIBU

Lakini Binafsi NALIA na VIONGOZI wetu KUKOSA UBUNIFU wafanye NINI kupambana na Huu UMASIKINI wa WATU wake.

Na TATIZO hili linachangiwa sana na SIASA na kukosa KATIBA BORA yenye MISINGI IMARA na MADHUBUTI ya Kutumia RASLIMALI Zilizopo VIZURI

Tusipoangalia MASIKINI wa NCHI hii hawataingia MBINGUNI kwani UMASIKINI wetu ni WAKUJITAKIA MUNGU alipotupa RASLIMALI kila MKOA alitaka WATANZANIA wasiwe MASIKINI.

View attachment 2236971
Wabunge wanapiga sarakasi bungeni. Hamnazo bin punguani. Tutaendeleaje!!!
 
Maendeleo ni juhudi binafsi yani hapo ni sawa na wanafunz wa darasa moja kufanya mtihan wangeni watapata ziro wangine watapata one
 
Binasfsi siamini kama katiba ya sasa ndio chanzo cha umasikini bali naamini waliopewa mamlaka ya kutuongoza kuna mahali hawafanyi vyema. Ni ajabu kwa nchi yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kama Tanzania kuwa na upungufu wa mafuta ya kupikia mpaka kusababisha mfumko wa bei.

Hivi taasisi za kilimo zinafanya nini sasa, kwa nini wasiwe na mahekari ya kutosha mfano mkoa wa Singida wakawekeza vya kutosha kwenye kilimo cha alizeti, au Kigoma wakawekeza kwenye kilimo cha michikichi. Kama hiyo haitoshi kwa nini taasisi kama magereza wasiwekewe mkakati wa kuwa wanalima alizeti za kutosha ili kuweza kukabiliana na gharama za mafuta na taasisi zingine zikawekeza kwenye kilimo cha mazao ya chakula kama mahindi.
 
Binasfsi siamini kama katiba ya sasa ndio chanzo cha umasikini bali naamini waliopewa mamlaka ya kutuongoza kuna mahali hawafanyi vyema. Ni ajabu kwa nchi yenye ardhi kubwa na yenye rutuba kama Tanzania kuwa na upungufu wa mafuta ya kupikia mpaka kusababisha mfumko wa bei.

Hivi taasisi za kilimo zinafanya nini sasa, kwa nini wasiwe na mahekari ya kutosha mfano mkoa wa Singida wakawekeza vya kutosha kwenye kilimo cha alizeti, au Kigoma wakawekeza kwenye kilimo cha michikichi. Kama hiyo haitoshi kwa nini taasisi kama magereza wasiwekewe mkakati wa kuwa wanalima alizeti za kutosha ili kuweza kukabiliana na gharama za mafuta na taasisi zingine zikawekeza kwenye kilimo cha mazao ya chakula kama mahindi.
Inashangaza mno utakaposikia nchi haina hela ila kwa kufanyia vitu vya maana ila vile vya kipuuzi hela ipo.
Inawezekana sana ku support estates za kilimo zonal kila eneo likawa strategically linazalisha zao flani kwa wingi mno.


kipuuzi hela ipo
 
Wadau UMASKINI ni LAANA hasa pale NCHI hiyo inakuwa na kila AINA ya RASLIMALI kama TANZANIA
Binafsi huwa Najiuliza kwanini TANZANIA watu wake ni MASIKINI wa KUTUPWA wakati ina RASLIMALI kila MKOA?

Je, Tunakwama Wapi?

Je, Tatizo ni UONGOZI umekosa DIRA MAONO na UBUNIFU?

Je, TATIZO ni SIASA za hiki CHAMA TAWALA? Nakosa MAJIBU

Lakini Binafsi NALIA na VIONGOZI wetu KUKOSA UBUNIFU wafanye NINI kupambana na Huu UMASIKINI wa WATU wake.

Na TATIZO hili linachangiwa sana na SIASA na kukosa KATIBA BORA yenye MISINGI IMARA na MADHUBUTI ya Kutumia RASLIMALI Zilizopo VIZURI

Tusipoangalia MASIKINI wa NCHI hii hawataingia MBINGUNI kwani UMASIKINI wetu ni WAKUJITAKIA MUNGU alipotupa RASLIMALI kila MKOA alitaka WATANZANIA wasiwe MASIKINI.

View attachment 2236971
Umaskini Tanzania tunautaka wenyewe kwa kuendekeza unafiki na upuuzi wa kukumbatia CCM.
 
Maendeleo ni juhudi binafsi yani hapo ni sawa na wanafunz wa darasa moja kufanya mtihan wangeni watapata ziro wangine watapata one
Juhudi binafsi huwezeshwa na mfumo wezeshi kuelekea juhudi binafsi.Kazj ya serikali sahihi ni kuondoa vikwazo vya maendeleo.
 
Back
Top Bottom