Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Umasikini Mbaya, Unaogopesha, Unatisha

Jumanne Mwita

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
557
Reaction score
1,544
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini, pease do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.

Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikio, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini.
Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikiolo, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Watu wengine umasikini ni kama laana ataufanyeje huwezi kumtoa kwenye umasikini,.......
 
Bora ukutane na umasikini ila sio ufukara! Utakosa ladha ya maisha kabisa!
JamiiForums-1994197169.jpg
JamiiForums1819332730.jpg


Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini.
Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikiolo, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulinzi shule ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkurugezi akamuagiza aende akanunue kopo la ragi moja kupaka getini akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
 
Kuna jama alitafuta kazi kwa siku nyingi ni kamfanyia mpango akapata kibarua cha ulizi shuleni ya wasichana mshahara wake ukawa 350k kwa mwezi, akapiga kazi kwa wiki tatu, wiki ya nne mkrungezi akamuaguze aende akanunue kopo la ragi akampa 28,000. Jama akakimbia mazima na pesa sh 28000, wakati mshahara wake ulikua umebakiza siku saba tu alipwe, kama sio laana ni nini hiyo?
Story yako inatufundisha nini???
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini.
Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikiolo, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Laana inatafuna watu kama nini mchungeni ukoo mnako oa kuna koo kwao kumiliki gari ni marufuku, na utajiri bila gari ni sawa sawa na umasikini.....
 
Kama upo kwenye nafasi ya kumvuta Mtanzania mmoja au zaidi, awe ndugu, jamaa, rafiki au mtu baki kumtoa kwenye umaskini.
Please do it, huo ndio mchango wako wa Taifa lako.
Umaskini mbaya, unaogopesha, unatisha.

Njia nzuri zaidi ya kukuhakikishia mafanikiolo, ni kwa kufanya kwa kadri ya uwezo wako kuwanyanyua wanaokuzunguka!
Sio kwa mbwa wabkitanzania ni hatarii
 
Kuna mstaafu kasomesha wanae kwa uchungu sanaa wote wanne wa lipata degree tofauti tofauti vyuo vikuu. Ila chakushangaza wote wameokoka wanashuda kanisani kunene neno la mungu mchana na usiku hawataki kutafuta ajira, tena sio kwamba ni viongozi wa kanisa ni wa fuasi wa kawaida wanao toa Sadaqa.....hiyo ni laana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom