Kamueni bana!! hii haikuanza leo mbona Sodoma ilikuwepo bana!!! mtu chake ati, mtaji wa masikini nguvu zake wanangu, ila kinga muhimu si unajua technologia imepanda, na msiache kulipa kodi .....TRA alla!!!
kazi hii inafanyiwa promotion na serikali
kwani wauza joto hawawezikukomeshwa?
mimi nadhani kila mwenye umri wa kuoa/kuolewa akamate chombo!!!!
unakuta jitu kubwa halijaolewa unadhani hizo stim anazipeleka wapi
sex is nature bwana.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.