Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,233
- 8,779
Zawadi ukiondoa chuki ulizonazo dhidi ya kanisa katoliki (ambazo umezionyesha mara kwa mara kwenye thread na post mbalimbali) tujulishe ni sehemu gani ya waraka usiyoipenda (kwa sababu yoyote ile) au kuielewa ili tuelewe kampeni zako dhidi ya waraka wa kanisa katoliki (mwongozo wa waislamu inaonekana sio issue kwako) zinalenga nini?
roho mtakatifu kakuleta huku??????
HAHAHAHAHH!!!!