magosha
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 689
- 90
Kablaya uchaguzi wa 2010 CHADEMA kilikua maarufu sana na wabunge wake walikua makini mno bungeni lakini baada ya uchaguzi ambapo walipata wabunge wengi wakaanza visa moja tusisikilize hotuba ya rais bungeni, kususa vikao vya bunge, maandamano ambayo baade yalizaa vifo, kusema nchi haitatawalika,wabunge wake kutoa lugha chafu kama mh sugu na mh msigwa,mh wenje,katibu mkuu wake kutuhumiwa kuvujisha siri na kiongozi wake lwakatare akituhumiwa mahakamani kwa kesi ya kutaka kudhuru, hivi vote vimewaondolea umaarufu mkubwa walionao ambao ulianza kuenea sehumu za vijijini kuanza kufutika taratibu kwani watu wameanza kuingiwa na hofu na dhamira halisi ya chama hiki
Unaoongea kama mwendawazimu, maana uwezi kusema CHADEMA imeshuka umaarufu bila kuwa na research to justify your arguments. Ni mwendelezo wa ukichaa huu. Nenda kadeki barabara huko.
Kablaya uchaguzi wa 2010 CHADEMA kilikua maarufu sana na wabunge wake walikua makini mno bungeni lakini baada ya uchaguzi ambapo walipata wabunge wengi wakaanza visa moja tusisikilize hotuba ya rais bungeni, kususa vikao vya bunge, maandamano ambayo baade yalizaa vifo, kusema nchi haitatawalika,wabunge wake kutoa lugha chafu kama mh sugu na mh msigwa,mh wenje,katibu mkuu wake kutuhumiwa kuvujisha siri na kiongozi wake lwakatare akituhumiwa mahakamani kwa kesi ya kutaka kudhuru, hivi vote vimewaondolea umaarufu mkubwa walionao ambao ulianza kuenea sehumu za vijijini kuanza kufutika taratibu kwani watu wameanza kuingiwa na hofu na dhamira halisi ya chama hiki
Kablaya uchaguzi wa 2010 CHADEMA kilikua maarufu sana na wabunge wake walikua makini mno bungeni lakini baada ya uchaguzi ambapo walipata wabunge wengi wakaanza visa moja tusisikilize hotuba ya rais bungeni, kususa vikao vya bunge, maandamano ambayo baade yalizaa vifo, kusema nchi haitatawalika,wabunge wake kutoa lugha chafu kama mh sugu na mh msigwa,mh wenje,katibu mkuu wake kutuhumiwa kuvujisha siri na kiongozi wake lwakatare akituhumiwa mahakamani kwa kesi ya kutaka kudhuru, hivi vote vimewaondolea umaarufu mkubwa walionao ambao ulianza kuenea sehumu za vijijini kuanza kufutika taratibu kwani watu wameanza kuingiwa na hofu na dhamira halisi ya chama hiki
Hivi nyie mbumbumbu,nani? Aliyewaloga kuwa cdm haiwezi kusemwa vibaya? Maana kila post inayojaribu kusema vibaya cdm mnaishambulia,hamuwezi kujenga chama kizuri kama hampotayari kusikia mapungufu yenu hamtaweza kusonga.ndiyo maana ninatamani sana cdm ichukue 2015 tuone kama hatutaandamana baada ya miezi 6 kuwatoa ikulwa.ushabiki utaangamiza taifa
mbumbumbu ni wewe tena zumbukuku mkubwa usiyejitambua.... Kilaza wewe na huyo mleta mada.... Kama umeona alichoandika mleta uzi kina maana kichukue ukaimarishe chama chenu, chadema iacheni ife.... Pilipili msiyoila yawawashia nini? Vilaza nyie!
Kablaya uchaguzi wa 2010 CHADEMA kilikua maarufu sana na wabunge wake walikua makini mno bungeni lakini baada ya uchaguzi ambapo walipata wabunge wengi wakaanza visa moja tusisikilize hotuba ya rais bungeni, kususa vikao vya bunge, maandamano ambayo baade yalizaa vifo, kusema nchi haitatawalika,wabunge wake kutoa lugha chafu kama mh sugu na mh msigwa,mh wenje,katibu mkuu wake kutuhumiwa kuvujisha siri na kiongozi wake lwakatare akituhumiwa mahakamani kwa kesi ya kutaka kudhuru, hivi vote vimewaondolea umaarufu mkubwa walionao ambao ulianza kuenea sehumu za vijijini kuanza kufutika taratibu kwani watu wameanza kuingiwa na hofu na dhamira halisi ya chama hiki
Mbumbumbu ni wewe tena zumbukuku mkubwa usiyejitambua.... Kilaza wewe na huyo mleta mada.... Kama umeona alichoandika mleta uzi kina maana kichukue ukaimarishe chama chenu, chadema iacheni ife.... Pilipili msiyoila yawawashia nini? Vilaza nyie!
mkuu umenimalza kinyama yan mbavu zangu jamen ha ha ha ha ha umemjibu vzur huyo juha.
Kablaya uchaguzi wa
2010 CHADEMA kilikua maarufu sana na wabunge wake walikua makini mno
bungeni lakini baada ya uchaguzi ambapo walipata wabunge wengi wakaanza
visa moja tusisikilize hotuba ya rais bungeni, kususa vikao vya bunge,
maandamano ambayo baade yalizaa vifo, kusema nchi haitatawalika,wabunge
wake kutoa lugha chafu kama mh sugu na mh msigwa,mh wenje,katibu mkuu
wake kutuhumiwa kuvujisha siri na kiongozi wake lwakatare akituhumiwa
mahakamani kwa kesi ya kutaka kudhuru, hivi vote vimewaondolea umaarufu
mkubwa walionao ambao ulianza kuenea sehumu za vijijini kuanza kufutika
taratibu kwani watu wameanza kuingiwa na hofu na dhamira halisi ya chama
hiki
kala virobaUnaoongea kama mwendawazimu, maana uwezi kusema CHADEMA imeshuka umaarufu bila kuwa na research to justify your arguments. Ni mwendelezo wa ukichaa huu. Nenda kadeki barabara huko.
ujinga huu unaouandika ndo chanzo cha matesa na mauaji ya raia wasio na hatia kwakufikiri mkifanya uharamia watu wataichukia CDM. U A VERY WRONG MAGAMBA