Umaarufu wa CHADEMA waongezeka maradufu

Umaarufu wa CHADEMA waongezeka maradufu

Umaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...

Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Kwa kuwakataza wenzio kujinadi,nyie mzunguke kuuza sera kwa lazima.

Had mnawaambia walipa kodi wenu wakipata njaa hawatapewa chakula kana kwamba njaa wameitaka wao?

Mtanzania yeyote ni mlipa kodi,iweje umwambie aletewe maendeleo na chadema,kisa tuu kamchagua kiongozi wa chadema,wakati kodi yao mnaichukua tena kwa lazima na kwa kumfilisi?
 
Na hiki ndicho kinachouangusha upinzani. Yaleyale ya mtoto mdogo ana kitambi cha kwashakoo, mzazi anasema "mtoto kopiraiti huyu, kama baba yake." Ni maradhi, sio afya njema.

Huo "umaarufu" unaoongelea ni katika lipi hasa? Kama ni kamata kamata ya wapinzani haijaanzia kwa akina Mashinji. Huko nyuma zilishafanyika jitihada za kutaka kuvifuta baadhi ya vyama vya upinzani kwa tuhuma kuwa ni vya kigaidi. Kuna watu wameshapoteza maisha yao kwa kushiriki maandamano ya vyama hivyo, damu ambayo leo baadhi yenu "mnaikebehi" na hoja za "kupanda umaarufu wa Chadema."

Tofauti kati ya zama hizo na sasa ni kwamba Chadema ilikuwa na ajenda ya kuwapigania walalahoi, na kwa hakika ilikuwa na ufanisi kama sauti ya wanyonge, na mbadala stahili wa CCM. Hivi leo Chadema inasimamia nini? Kama inabidi Mashinji akamatwe ndo ajulikane, basi mna matatizo makubwa mno.

Mkitaka umaarufu usio wa kufikirika bali utakaowawezesha kuingia Ikulu mwaka 2020 basi waonyesheni Watanzania kuwa mpo kwa ajili yao, ninyi ni bora kuliko CCM, na mtaipeleka Tanzania inapostahili kuwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiazi wewe,mmeiruhusi chadema kujieleza kwa wananchi wake?
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Kweli ngada ina heusha akiri utafiti umeufanya lini huo au bdo umelala hapa kila siku wana janvi wanasema chadema imedolo mna bisha kumbe ndani ya mioyo yenu na ninyi mnajua imekuwa mfu sasa hivi mnasena umaarufu umepanda kumbe mnajua chama badala ya ku fly to KIA kina walk to KIA HAHAHAHA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ngada ina heusha akiri utafiti umeufanya lini huo au bdo umelala hapa kila siku wana janvi wanasema chadema imedolo mna bisha kumbe ndani ya mioyo yenu na ninyi mnajua imekuwa mfu sasa hivi mnasena umaarufu umepanda kumbe mnajua chama badala ya ku fly to KIA kina walk to KIA HAHAHAHA

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
 
Bila polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Hoja.mufilisi kabisa na ndio tumezoea kuzisikia kwani sehemu.mlizo shinda wabunge na madiwani na hata kushinda halimashauri polisi hawakuwepo? Acheni kudanganya watu mnaposhinda mnadai mnao uwezo mkishindwa polisi tuwaeleweje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi lisema hili mwanzo kwamba watu hawatembei waone jinsi chadema inavyokuwa kwa kasi kama moto wa msituni ukichangia na ahadi hewa ya milioni hamsini kila kijiji asee hali huko inachemka tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Uchunguzi umefanywa na taasisi gani? Au ni uchunguzi wa vichaa kama Tundu Lisu ambaye hadi sasa ananyea ndoo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja.mufilisi kabisa na ndio tumezoea kuzisikia kwani sehemu.mlizo shinda wabunge na madiwani na hata kushinda halimashauri polisi hawakuwepo? Acheni kudanganya watu mnaposhinda mnadai mnao uwezo mkishindwa polisi tuwaeleweje

Sent using Jamii Forums mobile app
Una ndugu yeyote ambaye ni kamishna wa polisi ?
 
Dah .....imebaki mijinga michache inayokazana kuongelea uccm au ucdm[emoji41] [emoji12] [emoji13]

Sent from my chips yai using JamiiForums Mobile App
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Labda Moshi na Arusha!
 
chadema inafaidi na matangazo ya Bure , kwa sasa wamepata promo ya nguvu sehemu zote walizo pita wakubwa ambapo Magufuli anapiga kampeni za chadema Kigoma ma waziri mkuu yupo mbeya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Magazeti yote habari kuu kwa siku za karibuni ni kuhusu chadema na viongozi wake, na si porojo za Sizonje na ziara zake huko magharibi ya tz.
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Kama kawaida mkuu, ni wenye akili tu ndio watakuelewa
 
Back
Top Bottom