Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 34,104
- 32,926
Shetani keshamshinda Mungu huko Syria.Mkuu shaka ondoa , shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Shetani keshamshinda Mungu huko Syria.Mkuu shaka ondoa , shetani hajawahi kumshinda Mungu .
Maneno lundo lakini hoja kibaba , ukiacha awamu hii ya 5 iliyojaa viongozi waoga wa siasa huru , kuna awamu nyingine iliwahi kuvunja katiba kwa kukataza siasa za majukwaa kama sheria ya nchi inavyoelekeza ? Unataka ajenda zetu tuzielezee wapi kama si majukwaani ?Na hiki ndicho kinachouangusha upinzani. Yaleyale ya mtoto mdogo ana kitambi cha kwashakoo, mzazi anasema "mtoto kopiraiti huyu, kama baba yake." Ni maradhi, sio afya njema.
Huo "umaarufu" unaoongelea ni katika lipi hasa? Kama ni kamata kamata ya wapinzani haijaanzia kwa akina Mashinji. Huko nyuma zilishafanyika jitihada za kutaka kuvifuta baadhi ya vyama vya upinzani kwa tuhuma kuwa ni vya kigaidi. Kuna watu wameshapoteza maisha yao kwa kushiriki maandamano ya vyama hivyo, damu ambayo leo baadhi yenu "mnaikebehi" na hoja za "kupanda umaarufu wa Chadema."
Tofauti kati ya zama hizo na sasa ni kwamba Chadema ilikuwa na ajenda ya kuwapigania walalahoi, na kwa hakika ilikuwa na ufanisi kama sauti ya wanyonge, na mbadala stahili wa CCM. Hivi leo Chadema inasimamia nini? Kama inabidi Mashinji akamatwe ndo ajulikane, basi mna matatizo makubwa mno.
Mkitaka umaarufu usio wa kufikirika bali utakaowawezesha kuingia Ikulu mwaka 2020 basi waonyesheni Watanzania kuwa mpo kwa ajili yao, ninyi ni bora kuliko CCM, na mtaipeleka Tanzania inapostahili kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly, kuna watu wanaoza mahabusu. halafu mtu asipelekwe ICC!Hii ni hatari sana.Inamaana huu mchezo upo sana.Kama wanaweza kumfanyia hivi Lisu inamaana kuna watu kibao washa fanyiwa hivi.
Ncheke mie nnenepeKama kura zinapigwa na wananchi ccm itang'oka tu , labda kama wapiga kura ni polisi pekee .
Umefuatilia matokeo ya chaguzi za serikali za mitaa ya juzi.Tuache kujifariji uongo wakati chama kinafanya vibaya.Iko hivi, zile kura milioni 6 ziko palepale. Na wale wenye milioni 8 kuna nyingi ambazo zimepungua kutokana na matatizo yaliyoletwa kwenye ajira zao, ukosefu wa nafasi za kusoma kwa kunyimwa mikopo, biashara zao kuharibiwa na sera mbovu, maonevu na matumizi mabaya ya Polisi nk nk. Kura hizi zinazopungua zinaenda kule kwenye 6.
Sasa kuna zile kura zaidi ya milioni 4 ambazo hazikutumika 2015 kwa sababu hawakuwa wanaona umuhimu wa kupiga kura kutokana na matumizi makubwa ya vitisho vya dola, media kutumika vibaya hata kuletewa mizengwe kwenye mchakato na kuona kama kupiga kura ni upotevu wa muda tuu, hizi 2/3 lazima ziende mahali pake yaani kule kwenye 6.
Baada ya hapo jiulize kama uchaguzi unakuwa huru na haki matokeo yanakuwaje? Kwanza 2015 mumshukuru sana Kinana na Nape kwa kufanya juhudi za ziada ingawa leo mnawaona hawana maana (tabia za shetani kukosa shukrani) pia muwaenzi sana Lubuva, Jecha na Wakurugenzi (Returning officers) wasio waaminifu kwa kazi kubwa waliyo wafanyia
Kweli tupu.Na hiki ndicho kinachouangusha upinzani. Yaleyale ya mtoto mdogo ana kitambi cha kwashakoo, mzazi anasema "mtoto kopiraiti huyu, kama baba yake." Ni maradhi, sio afya njema.
Huo "umaarufu" unaoongelea ni katika lipi hasa? Kama ni kamata kamata ya wapinzani haijaanzia kwa akina Mashinji. Huko nyuma zilishafanyika jitihada za kutaka kuvifuta baadhi ya vyama vya upinzani kwa tuhuma kuwa ni vya kigaidi. Kuna watu wameshapoteza maisha yao kwa kushiriki maandamano ya vyama hivyo, damu ambayo leo baadhi yenu "mnaikebehi" na hoja za "kupanda umaarufu wa Chadema."
Tofauti kati ya zama hizo na sasa ni kwamba Chadema ilikuwa na ajenda ya kuwapigania walalahoi, na kwa hakika ilikuwa na ufanisi kama sauti ya wanyonge, na mbadala stahili wa CCM. Hivi leo Chadema inasimamia nini? Kama inabidi Mashinji akamatwe ndo ajulikane, basi mna matatizo makubwa mno.
Mkitaka umaarufu usio wa kufikirika bali utakaowawezesha kuingia Ikulu mwaka 2020 basi waonyesheni Watanzania kuwa mpo kwa ajili yao, ninyi ni bora kuliko CCM, na mtaipeleka Tanzania inapostahili kuwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi katika uwanja ambao siasa anafanya Magufuli na Polepole tu , matokeo ya uchaguzi yanaweza kuakisi kitu gani ?Katika mambo yanayoikwamisha CHADEMA ni kuaminishana ujinga na kuanza kuushabikia.
Hivi nani hajaona matokeo ya hizi chaguzi za marudio za serikali za mitaa zilizofanyika juzi???
Chama kinahitaji kuweka mikakati inayoweza kupimwa na kuthibitishwa na chaguzi.
Kufarijiana bila mikakati ni kujidanganya mwenyewe.
Ndio Kiki iliyobaki na wanayoipenda. Lakini inachuja haraka kama alivyochuja Harmorappa.Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Tunasemaga chambua kama karanga
😀😀😀 mnapenda sana kujifariji vijanaUchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Mazingira ya jana sio yajayo kwa mwenendo huu hata kidogoUmefuatilia matokeo ya chaguzi za serikali za mitaa ya juzi.Tuache kujifariji uongo wakati chama kinafanya vibaya.
Ukweli wa 2020 ni kwamba mtatumia mabavu