cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,902
- 78,952
Acheni kujidanganya.
Unaambiwa kwa sasa pale Mbamba bay hali ya ccm si shwari kabisa .
Endelea kujifariji Chadema ipo ICUUchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Umemkimbiza !Iko hivi, zile kura milioni 6 ziko palepale. Na wale wenye milioni 8 kuna nyingi ambazo zimepungua kutokana na matatizo yaliyoletwa kwenye ajira zao, ukosefu wa nafasi za kusoma kwa kunyimwa mikopo, biashara zao kuharibiwa na sera mbovu, maonevu na matumizi mabaya ya Polisi nk nk. Kura hizi zinazopungua zinaenda kule kwenye 6.
Sasa kuna zile kura zaidi ya milioni 4 ambazo hazikutumika 2015 kwa sababu hawakuwa wanaona umuhimu wa kupiga kura kutokana na matumizi makubwa ya vitisho vya dola, media kutumika vibaya hata kuletewa mizengwe kwenye mchakato na kuona kama kupiga kura ni upotevu wa muda tuu, hizi 2/3 lazima ziende mahali pake yaani kule kwenye 6.
Baada ya hapo jiulize kama uchaguzi unakuwa huru na haki matokeo yanakuwaje? Kwanza 2015 mumshukuru sana Kinana na Nape kwa kufanya juhudi za ziada ingawa leo mnawaona hawana maana (tabia za shetani kukosa shukrani) pia muwaenzi sana Lubuva, Jecha na Wakurugenzi (Returning officers) wasio waaminifu kwa kazi kubwa waliyo wafanyia
Tunaambiwa kwenu kyela barabara hazijengwi mpaka misiba ya wakubwa itokee , eti ni kweli ?Endelea kujifariji Chadema ipo ICU
Hawezi kuona tofauti kwani kwenye ukoo wake hata punda anabeba maitiTunaambiwa kwenu kyela barabara hazijengwi mpaka misiba ya wakubwa itokee , eti ni kweli ?
Yaani sasa hivi chadema wanapanda chati kuliko kipindi chochote nchiniUchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Umaarufu wa kungia ikulu kwa wizi wa kura na tume una tijaUmaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...
Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Viva Lissu The Great.Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Mungu ibariki Chadema .Yaani sasa hivi chadema wanapanda chati kuliko kipindi chochote nchini
...Mungu ibariki Chadema .
Na hiki ndicho kinachouangusha upinzani. Yaleyale ya mtoto mdogo ana kitambi cha kwashakoo, mzazi anasema "mtoto kopiraiti huyu, kama baba yake." Ni maradhi, sio afya njema.Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.
Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.
Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .
CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Hii ni hatari sana.Inamaana huu mchezo upo sana.Kama wanaweza kumfanyia hivi Lisu inamaana kuna watu kibao washa fanyiwa hivi.Erythrocyte unakumbuka jana nilisema watakuja kumbambikia kesi mbaya, umesikia ya Mkojo, ni kutaka kumbambikia madawa ya kulevya. Sijui wamechukua tahadhali gani? Naogopa