moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
Kama wewe uliweza kwenda basi Ukae ujue chadema itaenda na kama kweli mnajiaminiUmaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...
Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Msitume jeshi wala msitumie kamata kamata twendeni majukwaani uone Moto wake
Chadema ni CHAMA kinacho mfanya rais wako Hana mda wa kupumzika kila siku yuko kwenye TV tu asipoandikwa analalamika hajaandikwa kwenye magazeti
Sent using Jamii Forums mobile app