Umaarufu wa CHADEMA waongezeka maradufu

Umaarufu wa CHADEMA waongezeka maradufu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,513
Reaction score
283,988
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
UCHAKAVU unakiandama CHADEMA kwa kasi ya AJABU.....
 
Umaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...

Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
 
Umaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...

Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Kama kura zinapigwa na wananchi ccm itang'oka tu , labda kama wapiga kura ni polisi pekee .
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Ulichokiandika kina ukweli ila ndio hivyo tena ni vigumu kwa walio upande wa pili kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Erythrocyte unakumbuka jana nilisema watakuja kumbambikia kesi mbaya, umesikia ya Mkojo, ni kutaka kumbambikia madawa ya kulevya. Sijui wamechukua tahadhali gani? Naogopa
 
Umaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...

Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Unadhani Mchawi mpaka apae na Ungo
1f602.png
1f602.png
Maneno yake tu utagundua kuwa hili Chawi
 
Erythrocyte unakumbuka jana nilisema watakuja kumbambikia kesi mbaya, umesikia ya Mkojo, ni kutaka kumbambikia madawa ya kulevya. Sijui wamechukua tahadhali gani? Naogopa
Mkuu shaka ondoa , shetani hajawahi kumshinda Mungu .
 
Uchunguzi wangu umebaini kwamba baada ya jeshi la polisi kutii maagizo ya ccm , ya kukamata na kuwashughulikia wabunge na viongozi wote wa CHADEMA nchi nzima , umaarufu wa chama hiki umezidi kupanda kwa kasi ya ajabu.

Kukamatwa kwa Dr Mashinji huko Nyasa kumeisambaza zaidi Chadema mpaka vijiji vya mbali kama Nkaya , Nsungu na Ilela kiasi cha kutishia uhai wa ccm maeneo hayo.

Habari za kukamatwa kwa Lissu The Great , kumeifanya sasa dunia nzima kuujua kwa undani moto wa CHADEMA nchini Tanzania , kwa ujumla kukamatwa na kuhojiwa kwa makamanda kadhaa kama Lowassa , Kubenea , Mdee na wengine kote nchini kumeipaisha zaidi Chadema .

CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Kama una access na uongozi wa juu wa CDM, wambie wapange safu za kwenda kutoa hoja EU, AU, UN and the like kuhusu yanaoendelea hapa. sina uwezo wa kuwafikia
 
Umaarufu kwa chama cha siasa ambao hauwezi kukipeleka ikulu ni bure kabisa ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu...

Hakuna umaarufu mzuri kama ule unao kufanikisha kutimiza malengo yako hasa ya kwenda ikulu..
Iko hivi, zile kura milioni 6 ziko palepale. Na wale wenye milioni 8 kuna nyingi ambazo zimepungua kutokana na matatizo yaliyoletwa kwenye ajira zao, ukosefu wa nafasi za kusoma kwa kunyimwa mikopo, biashara zao kuharibiwa na sera mbovu, maonevu na matumizi mabaya ya Polisi nk nk. Kura hizi zinazopungua zinaenda kule kwenye 6.
Sasa kuna zile kura zaidi ya milioni 4 ambazo hazikutumika 2015 kwa sababu hawakuwa wanaona umuhimu wa kupiga kura kutokana na matumizi makubwa ya vitisho vya dola, media kutumika vibaya hata kuletewa mizengwe kwenye mchakato na kuona kama kupiga kura ni upotevu wa muda tuu, hizi 2/3 lazima ziende mahali pake yaani kule kwenye 6.
Baada ya hapo jiulize kama uchaguzi unakuwa huru na haki matokeo yanakuwaje? Kwanza 2015 mumshukuru sana Kinana na Nape kwa kufanya juhudi za ziada ingawa leo mnawaona hawana maana (tabia za shetani kukosa shukrani) pia muwaenzi sana Lubuva, Jecha na Wakurugenzi (Returning officers) wasio waaminifu kwa kazi kubwa waliyo wafanyia
 
Hata polisi nao wamekuwa maarufu pia.
 
Kumbe lengo ni kupata umaarufu, basi endeleeni na mpango wenu.!
Chama chochote ni lazima kifahamike ndio kishinde uongozi , mpaka muda huu naandika hii tegemeo kubwa la ccm ni polisi tu , si Dr Slaa wala Lipumba tena .
 
Back
Top Bottom