Ulokole wa facebook

kwani unapenda kuwa juu au chini ya mchepuko?
 

Hapo kwenye over 30 cc lara 1.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mimi huwa nashangaa....mtu kuandika mistari ya bible kwenye wall yake mwenyewe mtu mwingine anaumia nini?

Nashangaa na wewe...! Nini tatizo mtu kuandika kilichoujaza moyo wake? Hata kama anaanguka katika dhambi kila dakika, nani asiyefanya dhambi?

By the way, imani ya mtu ipo kwenye nafsi yake. Wale wanaobeza na kuponda naona ndio wanafiki. Hata hivyo, tunafanya dhambi na inafikia wakati tunabadilika, iwe kwa sababu ya umri, maradhi, matstizo ya dunia, nk.

#totalCrap ..
 
Kaaaarabosiki,Mungu awasaidie mjifunze kumwangalia Yesu Kristo na si mwanadamu.
Je,mnataka Yesu mwenyewe ndiyo ashuke kuwahubiria Habari njema?

Usipojifunza kumwangalia Mungu muwe na uhakika mtaipinga injili ya Yesu kwa blanketi la "huyu anayetuhubiria yeye mwenyewe ana udhaifu fulani"
Yesu wasaidie vijana wako hawa!
 
kweli kabisa wangu yaani kuna watu wana madongo mpaka unajihisi we ndo shetani peke yako
bora leo umewaambia
mi sisomagi msg zao maana kkaah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…