Ulizia hapa kuhusu Shule uliyo chaguliwa 2014/2015

sister umenikumbusha mbali. .
Mahindi tumelima na kuvuna magunia kwa magunia..
Kweli ile shule ililea haswaa....

Hongeraaa Weru×2
U mlezi wetu,
Kwa upendo wa moyoni tunajivunia. ....etc

hahahaha.....na gari letu lile scandinavia mwe.......unalikumbuka duka la kwa chege.......mwe weruweru ilinitoa uvivu wote kile kilimo si mchezo.....
 
Taarifa za aina gani unataka kama p.o.box ni 575 namba ya simu sikumbuki...

Labda useme kachaguliwa combi gani... shule ni nzuri kimaadili na kielimu kwa combination zote kuna walim wa kutosha.. maji... umeme na chakula... ukiingia mule kutoka nje ya geti ni siku ya kufunga shule basi... visiting day ni once per yr inakuwa Sept or Aug..

Mahitaji muhimu ya mwanzo ni Ndoo ya maji, sabuni,mswaki,soapdish, abebe uniform za shule aliyotoka hizo atazivaa darasani mpk wakipewa uniform za pale na shamba dress kwakuanzia abebe nguo za kushindia kama mbadala wa shamba dress, abebe nguo angalau moja ya mtoko kama disco au kupigia picha, blanket,shuka 2,mto na foronya, abebe tranker mabegi ya kawaida hayaruhusiwi mzazi utarud nalo ukisha mwacha mwanao shule..

Academic .. counter book quire 4 kama 8 hv na madaftari ya rough, calculator,peni,penseli,ufutio n.k

Simu it is strictly prohibited mtawasiliana kwa barua tu.

Jembe au Slesha ni lazima ila inategemea mwaka huu wanahitaji jembe au slesha..

Viatu ni vya kamba flat vyeusi aisahau.. na pocket money pia

hivyo viatu viliniangusha nilipigwa bonge la mweleka....mwe makande nyama nimeyakumbuka........mimi nilivyoambiwa shule unaenda na jembe nikaanza kulia mama akasema hiyo ndo nzuri.....
 
sister umenikumbusha mbali. .
Mahindi tumelima na kuvuna magunia kwa magunia..
Kweli ile shule ililea haswaa....

Hongeraaa Weru×2
U mlezi wetu,
Kwa upendo wa moyoni tunajivunia. ....etc
HONGERENI WANAWAKE WAPENDELEVU......Mama Kamm na Baba Kamm walifanya kazi nzuri sana. Mwana Weruweru aliyepitia mikononi mwa Mama Kamm (Maza) kwa kweli hatajutia muda wake...
 
hahahaha.....na gari letu lile scandinavia mwe.......unalikumbuka duka la kwa chege.......mwe weruweru ilinitoa uvivu wote kile kilimo si mchezo.....

Hahahaa kwa chegge wazee wa kuvusha illegal kule chapati nini lol... bila kumsahau peter wagetini mnoko... scandnavia letu lilioza sana mpk kuna siku wakati linabeba mahindi ile chuma ya chini mbele ilianguka kwa kuoza ila mzigo kama kawa ikaendelea kubeba mahindi na kuni hahaha
 
hivyo viatu viliniangusha nilipigwa bonge la mweleka....mwe makande nyama nimeyakumbuka........mimi nilivyoambiwa shule unaenda na jembe nikaanza kulia mama akasema hiyo ndo nzuri.....

Hahaha zile flat shoes hata sisimizi hawezi kuvuka chini ya kiatu lol.. na zile corridor za DH zinateleza sana... bila kusahau parade jumatatu na lile baridi sasa quick much hapo mama abdalla hataki mvae masweta j3 nilikuwa siipendi mweh
 
Hahaha zile flat shoes hata sisimizi hawezi kuvuka chini ya kiatu lol.. na zile corridor za DH zinateleza sana... bila kusahau parade jumatatu na lile baridi sasa quick much hapo mama abdalla hataki mvae masweta j3 nilikuwa siipendi mweh

hahaha acha tu.......jumatatu swahili speaker yani ilikuwa lazima niwepo mwe......nikisikia fulani...najua mim next mana ndo lilikuwa group langu.....mwe.....mama abdallah na ile tembea yake....na ule ukakamavu wake...unamkumbuka sister amansia........alinipa adhabu ya kuosha majani mana nilipita kwenye majani kule nyuma ya chapel.........akaniambia nitafute maji nioshe majani.....
 
Hahahaa kwa chegge wazee wa kuvusha illegal kule chapati nini lol... bila kumsahau peter wagetini mnoko... scandnavia letu lilioza sana mpk kuna siku wakati linabeba mahindi ile chuma ya chini mbele ilianguka kwa kuoza ila mzigo kama kawa ikaendelea kubeba mahindi na kuni hahaha

hahahahhaaa.....mimi nilikuwa HGE sasa siku hiyo tuko watatu tukaagiza donati...mwe wakati wini anayaleta nikaona mwalimu anakuja we watacha nitoke mbio...sasa badala ya kuwaambia wezangu mwalimu anakuja tukimbie wote nikajikuta nakimbia mwenyewe......eeh kuja kushtuka mwalimu huyo wakadakwa bwana.......uzuri wakazuga wakaachiwa....walinilaumu kishenzi ila mim nili panic nikakimbia bila kuaga.....
 
hahahahhaaa.....mimi nilikuwa HGE sasa siku hiyo tuko watatu tukaagiza donati...mwe wakati wini anayaleta nikaona mwalimu anakuja we watacha nitoke mbio...sasa badala ya kuwaambia wezangu mwalimu anakuja tukimbie wote nikajikuta nakimbia mwenyewe......eeh kuja kushtuka mwalimu huyo wakadakwa bwana.......uzuri wakazuga wakaachiwa....walinilaumu kishenzi ila mim nili panic nikakimbia bila kuaga.....

Hahaha mbele ya hatari lazima upanic kuna rafiki yangu alikamatwa na simba wa tatu Abdala, Sambaya na Mgase akiongea na ndugu yake alikuja msalimia pale getini bila ruhusa ya TOD teh alipokutana na top 3 alijihisi kifo lol hakuamini kuachiwa hvhv bila adhabu.
 
Hahaha mbele ya hatari lazima upanic kuna rafiki yangu alikamatwa na simba wa tatu Abdala, Sambaya na Mgase akiongea na ndugu yake alikuja msalimia pale getini bila ruhusa ya TOD teh alipokutana na top 3 alijihisi kifo lol hakuamini kuachiwa hvhv bila adhabu.

hahaaa sambaya mwe alitupa jina darasa letu na kutuita "makoboko" basi nasi tukawa tunajiita hivyo.....sambaya sitamsahau alinipa adhabu ya kuchimba mtaro ili bomba lipite kuelekea kule multi purpose hall ......mwe sikuamini kama niliweza kuchimba ukle mtaro yani muda mwingine najihisi kama ni avigimbi vya mikono...LOh
 
sister umenikumbusha mbali. .
Mahindi tumelima na kuvuna magunia kwa magunia..
Kweli ile shule ililea haswaa....

Hongeraaa Weru×2
U mlezi wetu,
Kwa upendo wa moyoni tunajivunia. ....etc

ila si waliuza shamba la manushi? naona watakuwa wamepunguza kulima.

Wanaweruu duniani tunajivuniaaa,uchangia kuendeleza maisha yetu,sifa zako tanzania ata nje zasifikaaaa hongera weruweru uumlezi wetu......
 
Hahaha zile flat shoes hata sisimizi hawezi kuvuka chini ya kiatu lol.. na zile corridor za DH zinateleza sana... bila kusahau parade jumatatu na lile baridi sasa quick much hapo mama abdalla hataki mvae masweta j3 nilikuwa siipendi mweh

hahahaha dah mmenikumbusha mbali sana,enzi hizo red skirt,mtoto wa mbunge aliibiwa laki 2, tuliteswa jamani.tulikaguliwa hadi kwenye underwear..dah weruweru niliipenda sana ila siku ile walituonea.Tulirushwa vichurachura.
mama sambaya anakutel anaweza majina ya watu wenye simu chini ya tabelnakuro kanisani na akawakamata kweli.i miss u weruweruuuuuu
 
hahaaa sambaya mwe alitupa jina darasa letu na kutuita "makoboko" basi nasi tukawa tunajiita hivyo.....sambaya sitamsahau alinipa adhabu ya kuchimba mtaro ili bomba lipite kuelekea kule multi purpose hall ......mwe sikuamini kama niliweza kuchimba ukle mtaro yani muda mwingine najihisi kama ni avigimbi vya mikono...LOh

Hahaha poleee yule mama dah hasahauliki sasa hv kahamia Tanga headmistress ndo kawa yule mwl Firmin
 
ila si waliuza shamba la manushi? naona watakuwa wamepunguza kulima.

Wanaweruu duniani tunajivuniaaa,uchangia kuendeleza maisha yetu,sifa zako tanzania ata nje zasifikaaaa hongera weruweru uumlezi wetu......

Shamba la manushi liliuzwa mda sasa limebaki moja tu lile la pale kituo cha daladala na hivi wanafunz wamepungua hakuna O'level wasingeweza five na six kumaliza .... ila ile shule mmmh JKT wangeipa tu exemption lol
 
Shamba la manushi liliuzwa mda sasa limebaki moja tu lile la pale kituo cha daladala na hivi wanafunz wamepungua hakuna O'level wasingeweza five na six kumaliza .... ila ile shule mmmh JKT wangeipa tu exemption lol

kwakweli mana mazoezi ya pale ni tosha aisee........
 
Jamani mdogo wangu amepangwa pamoja secondar xkul na hana muelekeo wowote hadi muda huu kuhusu shule iyo. Tafadhal msaada anaeifaham bip kwny 0714-644512 ntaupigia.
 
Jamani nisaidieni kupata joining instruction form ya Tosamaganga high school, mbona sipati popote?
 
Back
Top Bottom