Uliwezaje kufungia vyeti kabatini kisha ukajiajiri?

Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Heh! sio kufungia kabatini, kabati si linafunguka, choma moto kabisa ndio utatoboa
 
Familia yetu kwa asilimia 95 tumelelewa na mama kwa ukaribu sana, ilifikia hatua nikawa sina urafiki na mzee.
Unakuwaje na urafiki nae akati nyumban hakai ,unamaliza mwezi hujamtia machoni mzee wako.
 
UKitaka kufanikiwa vizuri maishani, tengenevyo vyanzo vitatu vinavyotokana na:-
1: KILIMO
2: Ujasiriamali
3: Taaluma.

Ukichanganya hivyote vitatu, hutokuwa maskini kamwe.
Ukitaka kufanikiwa katika level nzuri zaidi lazima ununue mda wa watu:
 
Mkuu miaka mitatu ni mingi sana hasa unapokuwa ktk taifa kama hili letu,kumbuka kama leo tu-assume ana 3mill kwa sasa akikaa mpaka 2021 akiitia sokoni itaonekama kama 300k kulingana na kila siku kodi za vitu zinapandishwa pia fursa aliyoiona itakuwa imeshapotea.
Exactly mkuu... Kama kuna fursa anaiona kwa sasa baada ya miaka hiyo mitatu itakua ishaota mbawa... Kama anauwezo wa kuifanyia kazi bhasi wakati wake ni sasa. Hiyo fursa haitomsubiri amalize chuo...
 
Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Anytime you should have to be an assertive person!
KUWA MTU WA KUTHUBUTU MUDA WOTE.
IMG_20180703_214347_438.jpg
 
Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Najua hutaamini this week nitaacha kazi, ndugu na jamaa wananikataza but I have decided reafy I to resign from the job! Ni utumwa sana.
 
Haieleweki unakubaliana na lipi wewe mkuu.
Unapoanzisha biashara, ni kuwa umeanzisha mfumo fulani ( system) ambayo itaendesha biashara. Hivyo siku za awali, kuelewa mfumo wako unaweza sababisha uende mbali kufuatilia mambo mbalimbali ili kuanza na kuweka sawa mambo.. Utaona mfumo bado utakuwa unakutegemea... Lakini baadaye, kama mfumo unafanya kazi vizuri, unakupa uhuru wa kutokuwepo au kusafiri sana kwa ajili ya mfumo..Ni hayo tu..
 
.............Una maana gani mkuu!!!au sijaelewa?
Unafanya biashara yako,hela yako hakuna anaekupangia matumizi ninini kitakachokufanya uwe mtumwa?
Lengo moja la biashara ni kukupa uhuru, wa kuamua aidha kuwepo kwenye biashara au la na mambo yanakwenda.. Lakini ukiona unakuwapo kwenye biashara muda wote, aidha aina ya biashara uliyochagua haikupi huo uhuru na inabidi uamue kama utaweza kuendelea kuishi na kufanya biashara kwa mfumo... Njia nzuri na biashara nzuri, ni pale ambapo umetengeneza mfumo ambao haukutegemei wewe ili biashara iende.. Hautakiwi wewe kuwa biashara, kufungua wewe, TRA wewe, mauzo wewe, kununua mzigo wewe... Hapo sasa umeanzisha kazi na sio biashara, tofauti umejiajiri mwenyewe na ule utumwa wa kuajiriwa bado utakuandama ..
 
Back
Top Bottom