computerkiddy
JF-Expert Member
- Oct 1, 2015
- 488
- 532
anatumia principle za how to use others peoples money to make money za robert kiyosaki
UKifanya kimoja, nakuhakikishia kuwa hutofika mbali. Ukifanya vyote utakuwa salama zaidi. kuwa na multiples sources ni jambo jema sana.Ujasiriamali unabeba vyote hapo....ila ndani ya ujasiriamali utaamua ufanye vyote au kimoja wapo.
one step at a time!UKifanya kimoja, nakuhakikishia kuwa hutofika mbali. Ukifanya vyote utakuwa salama zaidi. kuwa na multiples sources ni jambo jema sana.
IKo sawa. nakubaliana na weyeone step at a time!
tupo pamoja mkuu, mimi nimemaliza 2016 na saiz nakomaa na biasharaWakuu mje kunitia moyo. Mimi nimemaliza form six mwaka huu. Ila naona ndoto yangu ya ujasiriamali ni kubwa kuliko kupoteza miaka 3 chuo na kozi zisizona uhalisia.
Biashara gani?tupo pamoja mkuu, mimi nimemaliza 2016 na saiz nakomaa na biashara
UKitaka kufanikiwa vizuri maishani, tengenevyo vyanzo vitatu vinavyotokana na:-
1: KILIMO
2: Ujasiriamali
3: Taaluma.
Ukichanganya hivyote vitatu, hutokuwa maskini kamwe.
Heh! sio kufungia kabatini, kabati si linafunguka, choma moto kabisa ndio utatoboaHabari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Unakuwaje na urafiki nae akati nyumban hakai ,unamaliza mwezi hujamtia machoni mzee wako.Familia yetu kwa asilimia 95 tumelelewa na mama kwa ukaribu sana, ilifikia hatua nikawa sina urafiki na mzee.
Ukitaka kufanikiwa katika level nzuri zaidi lazima ununue mda wa watu:UKitaka kufanikiwa vizuri maishani, tengenevyo vyanzo vitatu vinavyotokana na:-
1: KILIMO
2: Ujasiriamali
3: Taaluma.
Ukichanganya hivyote vitatu, hutokuwa maskini kamwe.
UKifanya kimoja, nakuhakikishia kuwa hutofika mbali. Ukifanya vyote utakuwa salama zaidi. kuwa na multiples sources ni jambo jema sana.
Haieleweki unakubaliana na lipi wewe mkuu.Kuwa mbali kwa muda kwa biashara yako ni sawa, lakini kuwa mbali kwa muda wote, kwa ajili ya biashara yako, bado ni sawa na utumwa wa kazi ya kuajiliwa.
Choma vyako kwanza Mkuu.Heh! sio kufungia kabatini, kabati si linafunguka, choma moto kabisa ndio utatoboa
Exactly mkuu... Kama kuna fursa anaiona kwa sasa baada ya miaka hiyo mitatu itakua ishaota mbawa... Kama anauwezo wa kuifanyia kazi bhasi wakati wake ni sasa. Hiyo fursa haitomsubiri amalize chuo...Mkuu miaka mitatu ni mingi sana hasa unapokuwa ktk taifa kama hili letu,kumbuka kama leo tu-assume ana 3mill kwa sasa akikaa mpaka 2021 akiitia sokoni itaonekama kama 300k kulingana na kila siku kodi za vitu zinapandishwa pia fursa aliyoiona itakuwa imeshapotea.
Anytime you should have to be an assertive person!Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Najua hutaamini this week nitaacha kazi, ndugu na jamaa wananikataza but I have decided reafy I to resign from the job! Ni utumwa sana.Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Unapoanzisha biashara, ni kuwa umeanzisha mfumo fulani ( system) ambayo itaendesha biashara. Hivyo siku za awali, kuelewa mfumo wako unaweza sababisha uende mbali kufuatilia mambo mbalimbali ili kuanza na kuweka sawa mambo.. Utaona mfumo bado utakuwa unakutegemea... Lakini baadaye, kama mfumo unafanya kazi vizuri, unakupa uhuru wa kutokuwepo au kusafiri sana kwa ajili ya mfumo..Ni hayo tu..Haieleweki unakubaliana na lipi wewe mkuu.
Lengo moja la biashara ni kukupa uhuru, wa kuamua aidha kuwepo kwenye biashara au la na mambo yanakwenda.. Lakini ukiona unakuwapo kwenye biashara muda wote, aidha aina ya biashara uliyochagua haikupi huo uhuru na inabidi uamue kama utaweza kuendelea kuishi na kufanya biashara kwa mfumo... Njia nzuri na biashara nzuri, ni pale ambapo umetengeneza mfumo ambao haukutegemei wewe ili biashara iende.. Hautakiwi wewe kuwa biashara, kufungua wewe, TRA wewe, mauzo wewe, kununua mzigo wewe... Hapo sasa umeanzisha kazi na sio biashara, tofauti umejiajiri mwenyewe na ule utumwa wa kuajiriwa bado utakuandama ...............Una maana gani mkuu!!!au sijaelewa?
Unafanya biashara yako,hela yako hakuna anaekupangia matumizi ninini kitakachokufanya uwe mtumwa?