Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Hakuna mapenzi hapo. Sikushauri umkaribishe hata nyumban kwako. Endelea kuwasiliana nae tu kama rafiki hata kumla isimle.
 
Nimechelewa kuona uzi wako, nyie wote ni watu wazima na mna akili timamu. Kutana nae, Ongea naye kama kawaida, utajua tu uhalisia wa mambo, uchukue hatua stahili.
 
Mi kwa jinsi ninavopenda kulipiza visasi sipati picha ingekuaje

Revenge it's sweeter when it's double
 
Nyota njema uonekana asubuhi jomba! angejapo kupa ahadi ya mapozeo mapema lkn aliku dump!! jisogeze kwake uone kila dawa ya limbwata Monitor atazalisha wewe utalea, km siyo upate ukimwi, ugumba wa kudumu mpaka ukae chini,

alitumika wapi leo anakuletea weye kilichotumiwa na monitor? na wewe ulivo bwege unakubali unakubali kula matapishi ya vidume wenzio tena monitor unamjua kabisaaa! Umelogwa??? nilicho mfanyia Misca hatasahau ndo km wewe!!!
 
Mkuu tupe mrejesho mkuu.

Kama bado hajakutembelea usisahau kuvaa ndomu hata 7 kwa pamoja!
 
Mimi nilimtongoza my Best friend miaka miwili,hataki,anataka tuwe marafiki tu,,siku moja nikamtongoza rafiki yake wa karibu Sana,alipopata habari siku ile ile akanipigia akaniuliza kwanini nimemtongoza rafiki yake??nikajibu tatizo nini??akasema rafiki yake Malaya,ili kunisaidia bora anikubalie tu..plus nimemtaka miaka miwili bora anionee huruma,tuka date kwa muda mfupi then akaniacha kwa maumivu makubwa,after months alipoenda nae kaachika anapiga simu kwangu turudiane anajuta alichonifanyia haha GIRLS GIRLS GIRLS
 
Man jipe muda wa kumchunguza and cheki tabia zake kama utaona zinaridhisha then fanya maamuz hakuna binadam asiekosea sahau ya nyuma and live inside the moment...
Follow your heart
Happy new year in advance [emoji111]
 
Natamani huu uzi ningeusoma within a time bahati mbaya imekua kwa kuchelewa,,

Bad thing in life is when a man say YES! instead of saying NO! or vice versa.

Kiuhalisia hapo yeye alikuweka wewe wa akiba michongo yake imebuma sasa ndo akakugeukia wewe ili umstiri..
 
Nahisi kama umeiba story yangu yani. Ilitokea the same. Mimi nlichofanya, nilitombaaaaa saaanaa.. Nikatombaaa kweli, halafu nikaanza jeuri. Jeuri ya hadi akajidharau. Kisha nikamwambia "niliumia sana, nimelipa kisasi, sikupendi". Nikapiga chini. Sometimes tusiusahau uanaume wetu..
 
Kama uliweza kumpenda akiwa anavaa lisketi bwanga la shule bila make up na wigi,mpe nafasi ya pili usajili wa dirisha dogo,
Mwanamke hata kama alidanga au alikua muuza vocha akiamua kukupenda na kutulia na wewe,Hakika amini amini nakuambia kuwa mke mwema hutoka kwa bwana.
 

Huyo ndo mwanamke wa kuoa sasa..mwanamke ambae hababaishwi na mtu adi nafsi yake inapomwambia hapa ndipo..ulitaka mwanamke ambae ukimwambia nakupenda akukubalie? Anatongozwa na wangapi adi akukubalie wewe vizuri na angekua na tabia ya kuwalegezea wanaume si angekua kashatumika sana,ungempenda?

Kuna mwanamke mwengine angependa akuone upo na gari yako na nyumba yako ndo angekubali kua na wewe..huyo anakuona unapanda daladala na anakupa mazingira kabisa..okota dodo ilo
 
Changamoto yangu kaka ni Je, tutaishi kwa upendo maana sijui kama kweli kaja kunikubali kwa moyo mkunjufu au la !!!


Mimi niwe mkweli mwanangu!

Yaani, always, kuna first, Second and third choice.

Vyovyote vile, wewe haukua first choice yake.

Demu katetereka mahala, sasa your likes are her priority.

NB: Mimi kama mimi, siwezi kuwa second choice ya mwanamke nitakae muoa, ila simaind kua hata third choice kwa mwanamke wa kutiana nae tu kisha nasepa or sina future nae.

But the matter of fact ni kwamba: Wanawake kama yeye, tayari dunia imesha wanyoosha yakua Kupendwa hasa ni nadra, wengi ni wapigaji tu na wanasepa haraka sana mara tu wakila mzigo. If you still love her, na kwakua ulikua kwenye daladala, meaning wewe ni kapuku na hakuja kwako kwaajili ya hela ila kakumbuka how you loved her, anataka labda kuona kama bado unampenda vile azime Gari mazima.

All-in-all, amekufuata na kukupigia simu, na kukulaumu kwanini hukumtafuta kama ishara ya majuto, huyo anajuta kwakua waliompenda ni wengi kazingua kwakua hawakua her first choice, sasa kaonana na wewe kama zari.

Trust me, if you still love her give it a shot, SON.

Huyo atakuheshimu na kukupenda sana ukimkubalia kwakua anajua makosa yake.

Up to you, SON.
 
"Qualities that make a good long term partner (the Good Dad) and the qualities that make for good breeding stock (Good Genes) only rarely manifest themselves in the same male." - Rationale Male

Je huyo demu hana mtoto ...? Ajazalishwa na mwanaume mwingine?
 
Ulikipost juzi, nimekisoma chote. Nimeona jinsi kinavyoapply in my prior and current experiences.

Thanks for sharing, ubarikiwe. Hiki ni kitabu cha kufungia mwaka.
 
Kwa maneno haya umeshaamua nini cha kufanya moyoni mwako,hapa unatafuta msukumo wa ziada tu.
Asante sana kaka. Kichwa kinaniuma sana. Ushauri wako ni wa msingi sana. Sometimes nawaza kuwa yawezekana umri unabadilisha mtazamo wa mtu. Yawezekana anatumia fikra ya kiutu uzima kutaka future na mimi.
 
Duuh "kama ambulance" [emoji28][emoji28][emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…