Ulishawahi kusingiziwa kitu?

Ulishawahi kusingiziwa kitu?

Nilisingiziwa kuiba na mtoto wa kaka angu ,japo alinizidi umri...
kaka angu (Mtoto wa mama mkubwa) ana uwezo hasa.
Tulikua na mama na wifi yangu

sasa tukawa tumeenda kwa sherehe kwao, baada shuguli kwisha ndio ikatokea hio sintmfahamu hela imepotea tena ef10 tu...

aisee walinishupalia mno kuwa nmeiba ,niliumia sana sana....
nilijiskia dhihaka mno...
yani nilijipa maswali, bila majibu,kwasababu mama angu masikini labda ndio maana wanaona mm ndo nastahili kuiba.aisee nilisononeka sana.

baada ya mda wakaja kugundua alieiba ni mdogo wake,wakaja tukaombana msamaha nikasamehe ila sitasahau kwakweli,na uyo dada alimaliza chuo akaishia kuwa malaya tu ,huyo dogo mwizi hadi leo...
pamoja na pesa alizonazo baba yao watt washenzi mno
Pole mkuu
 
Mimi nilisingiziwa na maza flani jirani na home kwetu.

Nilikua nasoma boarding tangu o'level mpaka a'leve na nilikua kuonekana home ni mara chache sana, sasa huyu mama akahamiaga kitaani kwetu akawa ananionaga wakati wa likizo tu.

Nimemaliza cha sita, narudi home mara jirani kuna kabinti karuzi nikakatupia voko, nikawa najilia taratibu. Mama yake akajua, na yule mama jirani mwingine ni shosti ake.

Basi wakamwambia binti, unadanganywa na huyo jamaa hapo sio kwao kwanza anakujaga kusalimia tu kwao ni Mbeya huko hapo kwa mjomba wake tu.

Doh, yani nilikua nikirudi home likizo basi kumbe yule mama alikua anadhani nimetokea mbeya kuja kusalimia ndugu..

Nilicheka sana
ahhaaaaaaaa
 
Kuna kipindi walinisingizia ETI DUME ZIMA NAVAA SHANGA KIUNONI....ilinitesa sana ,,,lakini pia niliwanasa sana WAREMBO waliokuja kuhakikisha kama kweli nina SHANGA KIUNONI AU LAA......nusu niwamalize mtaa mzima,, kuanzia VISICHANA hadi wake za watu,,wote walitaka kuhakikisha ni kweli? Mwisho walikuta SI KWELI na kila aliyepita kwangu HAKUTOKA....ilibidi nihame mtaa maana INGIA TOKA ZA MADEMU mjengoni kwangu zilizidi nikapewa NOTICE NIHAME....hakika sitosahau...KUMBE WAKATI MWINGINE KICK husaidia kuwa JUU....
 
Kusingiziwa inauma sana!
Mimi baada ya kumpa ujauzito binti mmoja hapa mbeya, kuna mama alikuja home na kuzusha kua aliwahi kutufumania tukia chaka moja ivi eti tukamkimbia, kitu ambacho sio kweli kabisa na wala sijawahi kukutana nae nikiwa na huyo binti, iliniuma sana nilitamani nmpige makofi
 
Mie nina hasira sana watu hadi leo wananisingizia eti EDWARD LOWASA "ni mtu wangu" ila basi tu, itabidi sasa nifanye kweli
Wewe ndiye shusho? Eti hili linaukweli leiguanan alikuwa kwake?
 
Niliwahi kusingiziwa navuta bhangi shuleni ila kiukweli sikuwahi kuvuta..

Kuona wananiandama nikaamua kuvuta.!!!
 
Zamani nilipokuwa kijana kusingiziwa kuwa natoka na mtu ambae sijawahi hata kuongea nae ilikuwa kawaida sana hivi watu sijui huwa wanapata faida gani kuzushia wenzao
 
Mimi ni karibuni tulikua kanda ya ziwa kikazi, tukiwa kule ucku tumekaa bar kuna demu mmoja alikua anatuhumia kumbe supervisor wangu na yy anamtaka mimi bila kujua, nikamzingua yule demu nikaondoka nae, kesho take asbh tunaenda field naona boss kavuta mdomo, badae dereva wetu akaniambia jamaa anamind jana nilimpiga kanzu tokea cku hiyo hadi tumerud mjini ni bifu tu, sasa amefika ofisini ameandikia bonge la ripoti full uongo hapa j3 natakiwa nipeleke maelezo ya kujitetea!
 
daah nilisingiziwa mimba na binti mmoja hivi kumbe hakuwa na mimba, mwisho wa siku anakuja kuniambia sikuwa na mimba wala nini nilitaka kukukomoa tu, nile pesa zako
 
daah nilisingiziwa mimba na binti mmoja hivi kumbe hakuwa na mimba, mwisho wa siku anakuja kuniambia sikuwa na mimba wala nini nilitaka kukukomoa tu, nile pesa zako
Daah..pole sana Mkuu hii ya mimba nahisi hatar Mimi nishawahii liwaa pesaa aiseee
 
Back
Top Bottom